Inasikitisha sana tunapoona viongozi waandamizi wa nchi hasa wabunge wakikubali kununua cheap doctorates kutoka vyuo vya kitapeli (rogue colleges). Hiyo inakupa picha kwamba hawa viongozi wetu...
Baadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa.
Kwa utafiti wangu usio rasmi wa kuwapigia watumishi wa Halmashauri tofauti...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyozua Maswali mengi na Taharuki ya Kiusalama Kawe ni kwamba Kijana Mmoja Dereva Bodaboda amejikuta matatani baada ya kutumwa kupeleka Barua yenye Ujumbe wa...
Inaaminika kuwa bangi inaweza kutibu aina mbalimbali za saratani mwilini, na baadhi ya watu huitumia wakiwa na imani hiyo.
Tunataka kufahamu ukweli wa jambo hili, pamoja na uthibitisho wake...
Ulivyo Soma ni sahihi kabisa wala hujakosea. Ndo habari ya mjini, zile nyumba zote zilizopo kwenye mountain inabidi zitoke jamaa wa Brazil aje ajenge na Familia yake.
Juni 24, 2022 watu 23 wa Afrika Kaskazini waliripotiwa kufariki kwa ghasia zilizokuwa zinaendelea katika Mji wa Spain, Melilla ambao upo kwenye pembe ya Afrika Kaskazini na imepakana na Morocco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.