Recent content by zungujose

  1. zungujose

    Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

    Mkuu wa mkoa na spika hua hawana spika labda kwa awamu hii
  2. zungujose

    Kuna ulazima dhana ya "Human Evolution" ifutwe shule ya msingi hadi form six

    Je binadamu waliokua nyani ni waafrica tu au ni pamoja na hawa weupe?
  3. zungujose

    Fundisho kwa wapenda michepuko

    Angekufa Magdalena ningehuzunika lkn kwa kua kafa Aisha Nina amani
  4. zungujose

    Mwanza: Shinyanga Guest House yaungua moto, Mmliki wake aungua hadi kifo

    Umeandika majonzi masikitiko na furaha sasa hiyo furaha ndio watu wanauliza imetoka wapi!?
  5. zungujose

    Wabunge wasema adhabu waliyopewa Halima na Bulaya haitoshi, mwingine ataka wafutwe kabisa ubunge

    Hao wanaotaka wavuliwe ubunge ni wabunge wa kuteuliwa tu ni sawa na mbwa koko tu kaz yao ni kubweka tu
  6. zungujose

    Gharama ya nauli Dar - Johanesburg kwa usafiri wa basi

    Nauli ya Lusaka to Johannesburg kwa sasa ni kwacha 700 kwa zile buss sleeper liner na kwacha 600 kwa bus za kawaida kumbuka kwacha 42 ni sawa na tsh elfu kumi kwa sasa HV japo rates hubadilika kila sku
  7. zungujose

    Gharama ya nauli Dar - Johanesburg kwa usafiri wa basi

    Usijifanye kujua sana hakuna barabara ya kutoka dar to kinshasa hta ya kutoka Lubumbashi to Kinshasa hakuna mm nipo huku ndio maana usafiri mkubwa wa Congo DRC ni ndege ila km anaenda south apande taqwa mpk Lusaka au Zimbabwe then Lusaka au harare achukue bus lingine mpk south nauli ya kutoka...
  8. zungujose

    Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

    Mm niliwahi kupiga hiyo ya 1...... Akapokea mwanamke nikamsalimia habari yako baada ya kuona ladhufi yake ni ya MTU kutoka Zanzibar nikamsalimia asalaam aleikum akanijibu ww kafiri achana na mm
  9. zungujose

    Iyovi, Iringa: Abiria wa basi wanusurika ajali baada mawe kuporomoka barabarani

    Hili eneo limekua tatizo week moja iliyopita nilikua fuso imeangukiwa na hayo mawe
  10. zungujose

    Jamani watu weupe watazidi kutunyanyassa mpaka lini???

    Africa ndio kuna roho mbaya zaidi na ubaguzi mbaya
  11. zungujose

    Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

    Binadamu wa kwanza alikua mweusi kwa maana ya adamu au wale waliobadilika kutoka sokwe kua binadamu?
  12. zungujose

    Wapata ajali baada ya kufanya mapenzi wakiwa wanaendesha gari

    Ilishawahi kutokea kahama pia jamaa alikua na demu wake kwenye gari demu akaanza kunyonya huku jamaa ana drive mwisho jamaa akapoteza mwelekeo wakapata ajali jamaa alikufa palepale demu alipona akambia
  13. zungujose

    Unconfirmed News: Navy Seals Tayari Wamefika Peninsula Ya Korea Jana Usiku

    Vita ni akili haijalishi ana washirika au LA mbona hta ww ukitaka kuzaa lazima utafute mwanaume?! Kikubwa ushindi tu
  14. zungujose

    Kilimo cha diesel kuwaokoa wakulima Tanzania

    Diesel hailimwi ww isipokua kuna mimea inayotoa nishati ya kuweza kutumika ktk magari lkn sio diesel Brazil 92% ya magari yao yanatumia ethanol inayotokana na mimea
Back
Top Bottom