Kuna ulazima dhana ya "Human Evolution" ifutwe shule ya msingi hadi form six

Kuna ulazima dhana ya "Human Evolution" ifutwe shule ya msingi hadi form six

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
huku najua unakotaka twende, maana tutaishia kuzungushana kama mtu anaekimbia kwenye duara akidhani anakimbia kwenye mstari mnyofu kumbe anazunguka hapo hapo.

Mungu naamini Yupo.
Imani chanzo chake ni kusikia Sio evidence.
na Kusikia huja kupitia kwa Neno la Mungu.

Kama fundi akidesign kiti, kisha ukapata ujumbe kutoka kwa watu wawili mmja anasema hapana hiki kiti hakijatengenezwa ulitokea mlipuko na gogo likasambaaa na ghafla kiti kikawepo. Mwingine akatokea akasema kilitengenezwa na Fundi si unaona jinsi kilivyopangika, na kila kitu kiko mahala pake kuna uwezekano Sufuri wa kitu kutokea kwa bahati mbaya.

huyo wa kwanza inahitaji uwe na matatizo ya akili kumuamini maana akisema moja anaibua maswali buku.
Tangu nimeamini Mungu yupo, Nazichunguza kazi zake za mikono Scientifically na Historically na Moyo unashiba na Imani inakuwa kila leo mkuu.
 
Ukitaka tutatue mzizi wa fitna na kujua kuna hoax nyingi sana kuhusu unachokitetea, Inabidi tusianzie kwa kujifunza kuanzia huyo bakteria. na kama haitoshi alipoishi, na Orgin of Earth and universe according to evolutionary theories. hadi unafikia kwenye hao unaowaita Common ancestors utakuwa umeshachanganyikiwa.
Radiometric dating sijui Carbon dating zikifeli tu hayo yote yanabaki kuwa mastori na sio sayansi tena.

Hapo ujafikia hata kwa hiyo samaki.
Abiogenesis is not evolution theory.....hope unaelewa tofauti Katiya hizo terms.
 
ngoja nipate, pumziko nikirudi nilaleta changamoto zaidi...
nitajitahiti kujibu na kutoa maoni yangu katika post #96 ya Al-Watan
Ila kwangu naamini Wanasayansi ambao wanaamini Uwepo wa Mungu wanacompetitive advantage ya kuexcel zaidi kuliko wale wanaoamini mambo ya kufikirika yasiyo na mashiko.
 
Abiogenesis is not evolution theory.....hope unaelewa tofauti Katiya hizo terms.
Tanua uelewa mkuu, usijifungie ndani ya kasha.
kuna aina sita za evolution
Cosmic evolution: the origin of time, space, and matter from nothing in the “big bang”
Chemical evolution: all elements “evolved” from hydrogen
Stellar evolution: stars and planets formed from gas clouds
Organic evolution: life begins from inanimate matter
Macro-evolution: animals and plants change from one type into another
Micro-evolution: variations form within the “kind”

katika maelezo yoooote humu ikiwemo na Bactrial resistence yanajificha kwenye aina moja ya mwisho ambayo kidogo tunaweza kukaa na kujadili.
 
Ndio maana nimesema vyote vitolewe.
Maana Dini mtu pia anatakiwa afanye uchaguzi akiwa mtu mzima na akili timamu...
kummezesha mtot haya maconcept yote ya dini na Evolution tunaita Indoctrination.
Bora watoe vyote au waweke zote kama theory au history na sio Science.

Kuna mambo mengi ya Kisayansi pia kwa tunaopenda kujifunza bibilia kwa milengo yoteyote.
pata update kidogo hapa.
FACTS 11: Kama wanasayansi wangesoma BIBLIA, Technology ya sasa ingekuwa Zamani Sana
Watu wameisoma hiyo Bible yako,hizo facts ulizo'post are so vague,anybody can have numerous different types of interpretation.

The same way,wazungu walitumia Bible ku'justify slavery na wazungu haohao wakaitumia Bible kupinga slavery

Hivyohivyo linaenda kwenye issue ya homosexuality,biblia imetumika miaka nenda rudi kuwahukumu,now watu wanachukua mistari kuhalalisha

Michezo hii ni kawaida kwenye Bible,ndio maana yoyote mwenye akili zake timamu hawezi tumia Bible, especially kwenye issue za science
 
Tanua uelewa mkuu, usijifungie ndani ya kasha.
kuna aina sita za evolution
Cosmic evolution: the origin of time, space, and matter from nothing in the “big bang”
Chemical evolution: all elements “evolved” from hydrogen
Stellar evolution: stars and planets formed from gas clouds
Organic evolution: life begins from inanimate matter
Macro-evolution: animals and plants change from one type into another
Micro-evolution: variations form within the “kind”

katika maelezo yoooote humu ikiwemo na Bactrial resistence yanajificha kwenye aina moja ya mwisho ambayo kidogo tunaweza kukaa na kujadili.
Again jua tofauti Kati ya abiogenesis na evolution before kuvamia topic usizozielewa
 
huku najua unakotaka twende, maana tutaishia kuzungushana kama mtu anaekimbia kwenye duara akidhani anakimbia kwenye mstari mnyofu kumbe anazunguka hapo hapo.

Mungu naamini Yupo.
Imani chanzo chake ni kusikia Sio evidence.
na Kusikia huja kupitia kwa Neno la Mungu.

Kama fundi akidesign kiti, kisha ukapata ujumbe kutoka kwa watu wawili mmja anasema hapana hiki kiti hakijatengenezwa ulitokea mlipuko na gogo likasambaaa na ghafla kiti kikawepo. Mwingine akatokea akasema kilitengenezwa na Fundi si unaona jinsi kilivyopangika, na kila kitu kiko mahala pake kuna uwezekano Sufuri wa kitu kutokea kwa bahati mbaya.

huyo wa kwanza inahitaji uwe na matatizo ya akili kumuamini maana akisema moja anaibua maswali buku.
Tangu nimeamini Mungu yupo, Nazichunguza kazi zake za mikono Scientifically na Historically na Moyo unashiba na Imani inakuwa kila leo mkuu.
Your entitled to your own opinion ndugu yangu but not your own facts

Kama unaamini kuna mungu na amekuumba hiyo ni opinion yako but we are talking about facts and Evidence here,and there is zero evidence kuwa mwanadamu ameumbwa,kuna evidence and facts kuwa mwanadamu ame'evolve

Kama issue za mungu sio za evidence and facts kama unavyosema then kwanini zifundishwe kwenye darasa la science linalo'deal na evidence na facts....
 
Again jua tofauti Kati ya abiogenesis na evolution before kuvamia topic usizozielewa
Abiogenesis
the original evolution of life or living organisms from inorganic or inanimate substances.
"to construct any convincing theory of abiogenesis, we must take into account the condition of the Earth about 4 billion years ago"

suala lile linazungukwa kwa ujanjaujanja.
bila hapo nilipopawekea RED ambapo huwa napaita MUNGU WA EVOLUTION. hakuna EVOLUTION wala hiyo Abiogenesis yako mkuu.
Ndio maana naanza kwa kuchallenge hicho kipimo cha kuidentify miaka hiyo Bil 4. hapo ndio uongo unapoanzia.
 
Your entitled to your own opinion ndugu yangu but not your own facts

Kama unaamini kuna mungu na amekuumba hiyo ni opinion yako but we are talking about facts and Evidence here,and there is zero evidence kuwa mwanadamu ameumbwa,kuna evidence and facts kuwa mwanadamu ame'evolve

Kama issue za mungu sio za evidence and facts kama unavyosema then kwanini zifundishwe kwenye darasa la science linalo'deal na evidence na facts....
nakwambia hivyo, nitaeleza tena kwa kina wakati mwingine, black history of evolution was like a counter attack to Creation and not science mkuu. Science iliingizwa njiani ili kupata mashabiki kama wewe. Kile alichokiona darwin huko kisiwani Amerika ya kusini na kuja kuhadaa dunia kupitia ulaya sio wala hakijawahi kuwa sayansi.
Hakuna wala haijawahi kuwepo uncontradictory evidence of Evolution of Man kind.
Evolution of mankind is Hoax in the name of science mkuu. Usishangae hata wewe tukikupima na hizo hizo radiometric tools zinazoipa Uzima EVOLUTION tukakukuta unamiaka Million mbili au laki sita hapo ndio utanielewa namaanisha nini.
usiku mwema kwa leo naishia hapa.
 
Abiogenesis
the original evolution of life or living organisms from inorganic or inanimate substances.
"to construct any convincing theory of abiogenesis, we must take into account the condition of the Earth about 4 billion years ago"

suala lile linazungukwa kwa ujanjaujanja.
bila hapo nilipopawekea RED ambapo huwa napaita MUNGU WA EVOLUTION. hakuna EVOLUTION wala hiyo Abiogenesis yako mkuu.
Ndio maana naanza kwa kuchallenge hicho kipimo cha kuidentify miaka hiyo Bil 4. hapo ndio uongo unapoanzia.
You do realize uki'doubt kuwa 4 billion years,unatakiwa uanze radioactivity then uende kwenye issue astronomy and geology pia

Zote hizo different science departments ambazo zina'support,earth is 4 billions years old,with different evidences.
 
Btw halizungushwi,kiujanja ujanja....that's not how science works........when hypothesis is passed as a theory,is going to be tested and retested by different scientists around the globe and if it yields the same results then inapita a theory

Please learn some Science methodology kuliko kubishana vitu usivyovielewa
 
Hivi mitaala ya China wanasoma hii theory ya huyu jamaa??
 
Mada hii hua inaniumiza sana kichwa maana hua najiuliza kama ni Kweli mbona tuna mapori mengi sana huku kwetu na hatuja wahi sikia au kuona kuna mtoto alie kuwa nyani au sokwe kaokotwa? Acha nikae kimyaa.
Watakambia hiyonproces inatumia miaka milioni 5 kukamilika[emoji4][emoji3][emoji16][emoji23]
 
Btw halizungushwi,kiujanja ujanja....that's not how science works........when hypothesis is passed as a theory,is going to be tested and retested by different scientists around the globe and if it yields the same results then inapita a theory

Please learn some Science methodology kuliko kubishana vitu usivyovielewa
vitu vingine unatumia na Common Sense ambayo mwanadamu amekuwa nayo hata kabla ya hizo methodology.

Unajua hata kusema jiwe hili ni Kilo moja ilikuwa ni makubaliano ya watu tu huko ufaransa 1795, lakini leo hii imekuwa agreed grobal fact na watu wa kada zote.

tujifunze mambo kutoka katika angle zote. sio kwa njia ambazo tayari zimebuniwa na wadau wachache na kuwa kama miongozo yako ya uelewa. Tunaanzia hapo na kuexplore facts zaidi...
 
Hii thana ni nzuri sana lakini tuelewe kitu kimoja evolution haiwezi kutake place pakuche asubui jioni evolution itake place it take million of years kitu kichange
And who will be there to prove that?
 
And who will be there to prove that?
mwambie tena kifaa cha kupimia kimewahi kutoa majibu ya ajabu sana sehemu nyingi duniani ila wanaficha ili kuulinda ujanjaujanja huo.
Kinachowapa nguvu ni kwa sababu wanauhakika hakuna anaejua birthday ya Ulimwengu.
huwezi kujua umri wa kitu bila kujua au kukadilia birthday yake ili upate pa kuanzia kuhesabu.
Ndio maana leo ukimficha umri wako ukamwambia akupime na hizo walizogundulia dunia inamiaka million sijui nne utakutwa na miaka hata 23450000 wakati kumbe wakati mwingine mtu ni under 18(mfano).

Sasa kama hadi leo hakuna kifaa cha kupima umri wa mtu wa kawaida tu wanabashiri, unaanzia wapi kuamini kipimo kinachobashiri matukio ya miaka millions iliyopita.

hapo ndio mwanzo wa watu kufikiri nje ya madaftari.
 
Million Years(unproven and self contradictory) is god in Human and other type of evolutions.
Without it evolution is DEAD early in the morning.
 
nakwambia hivyo, nitaeleza tena kwa kina wakati mwingine, black history of evolution was like a counter attack to Creation and not science mkuu. Science iliingizwa njiani ili kupata mashabiki kama wewe. Kile alichokiona darwin huko kisiwani Amerika ya kusini na kuja kuhadaa dunia kupitia ulaya sio wala hakijawahi kuwa sayansi.
Hakuna wala haijawahi kuwepo uncontradictory evidence of Evolution of Man kind.
Evolution of mankind is Hoax in the name of science mkuu. Usishangae hata wewe tukikupima na hizo hizo radiometric tools zinazoipa Uzima EVOLUTION tukakukuta unamiaka Million mbili au laki sita hapo ndio utanielewa namaanisha nini.
usiku mwema kwa leo naishia hapa.
Darwin ilikuwa miaka 150 iliyopita,hakuwa anajua hata nini kin'cause Evolution let alone alikuwa hajui chochote kuhusu DNA wala Genetics or Mutation

Vyote vilikuja miaka ya baadae na ku'support Evolution kwa nguvu zote.ndio uzuri wa hii theory,vyote vilivyokuja baada ya dawrin vilisupport evolution(genetics, Mutation bad discovery of DNA) na ndio maana mpaka Leo hii it's very relevant na wajinga pekee ndio wanapinga bila hata kuelewa wanapinga nini

Leo hii tuko kwenye epigenetics,genome editing most advanced Scientific studies in our generation,all thanks to Evolution.

Watu wanatibu na kuelewa cancer now,thanks to evolution,you can't have life science without evolution.........period

Ndio science hiyo mkuu......alichogundua Darwin miaka 150 iliyopita ni science,na Evidence haikotoka kwa Darwin pekee yake,miaka mengi baada ya Darwin kufariki more evidence came to light,all supported Evolution......please I beg you to study these things sio kubishana tu.......
 
Back
Top Bottom