ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,002
Mchepuko wangu mr wangu peke yakeNa ww pia uache michepuko
Mchepuko wangu mr wangu peke yakeNa ww pia uache michepuko
Hata mchele ni mmoja lakini unamapishi mbalimbali ukisema ukomae na wali wa maji kila siku utaukosa utatamu wa pilau.Mchepuko wangu mr wangu peke yake
Uko vizuri kama umeweza kumaliza kusoma post ndefu hivyo mimi post ikiwa ndefu hivyo labda awe kaandika Mange kimambi ndio ndaweza kuimaliza.Inafundisha sana jamaan tulieni na wake zenu yasiwapate ya kuwekewa sumu
Siku unaweza kukutana na post kama hivyo ukaidharau kumbe ni ya maana sanaUko vizuri kama umeweza kumaliza kusoma post ndefu hivyo mimi post ikiwa ndefu hivyo labda awe kaandika Mange kimambi ndio ndaweza kuimaliza.
Uko sahihi kabisa dada yangu ngoja huu uvivu niuache.Siku unaweza kukutana na post kama hivyo ukaidharau kumbe ni ya maana sana
Huhuuuu mchepuk mr pek yake hanichoshiHata mchele ni mmoja lakini unamapishi mbalimbali ukisema ukomae na wali wa maji kila siku utaukosa utatamu wa pilau.