Pia huyu jamaa anaona kila kitu ni rahisi, anavyoongea inaonyesha hajui hata gharama za kilimo cha bustani za mboga mboga.
Mimi ningemshauri aende kule kijijini kwao maana nina uhakika kila mkoa hapa tanzania wanalima then akamuulize bibi yake kilimo cha pamba, mahindi, kunde, viazi au karanga...
Hizo ndo tunaziita athari za Globalization.
Mitandao ya kijamii itadumaza akili za vijana wengi wa Kitanzania. Pole sana kaka.
Pia jiulize hyo ni simu ya mdogo wako, JE YA DEMU WAKO USHAWAHI IKAGUA?
Hongera sana dada kwakukataa utumwa wa Fashion. Sipati picha ulivyo mzuri, nadhani wewe ni mzuri kuliko Miriam Odemba.
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
It's my expression broo. Never mind broo,
It's my expression broo. Never mind broo.
Let me tell you something broo. You're brainwashed since the first day when your registered to school broo.
Your totally right, i'm brainwashed also. But i would like to remind you broo, "Don't waste your time...
Umenishangaza sana mkuu. You're so yesterday Broo.
Wazungu wana same mormphology na binadamu wengine, pia wazungu wana uwezo mkubwa wa kufikiri na ku^reason. Ukiongelea kuhusu binadamu ukumbuke kwamba kuna species nyingne nying duniani kwa mfano kuna ndege wa angani, hawafanani rangi lakini wote...
Siyo kwa wanawake wa siku hzi. Hata kama hujaomba gemu wewe, wanaomba wenyewe.
Sasa kama mwanamke anatembea hajavaa chupi alafu amevaa mini skirt unatarajia nini.
Habari za muda huu Wazalendo wenzangu.
Kwa wale wachapa kazi wenzangu, Hongereni sana tena sana kwa Uwajibikaji makini wa kusukuma mbele Gurudumu la maendeleo ya "Tanzania ya viwanda". Hakika tutafika.
Pia niwape Pole sana kwa majukumu mazito waliyonayo wale wenzetu Wavivu, Waongo na Wambea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.