zootopia
Member
- May 29, 2016
- 74
- 76
Habari za muda huu Wazalendo wenzangu.
Kwa wale wachapa kazi wenzangu, Hongereni sana tena sana kwa Uwajibikaji makini wa kusukuma mbele Gurudumu la maendeleo ya "Tanzania ya viwanda". Hakika tutafika.
Pia niwape Pole sana kwa majukumu mazito waliyonayo wale wenzetu Wavivu, Waongo na Wambea. Poleni tena sana.
Wakati Tukiwa katika maoenyesho Makubwa ya kimataifa ya biashara na viwanda ningependa tujadili kero na matatizo ya industry nyeti kabisa ya Habari, Burudani na Michezo. Lakini ningependa leo tuzungumzie sana Tasnia ya Habari na mawasiliano hususani Tv's na Redio.
Kumekuwa na malalamiko mengi mno kwa wapenzi wa habari kwamba vyombo vyetu vya habari hususani Tv's na Redio havifanyi vizuri kutokana na huduma mbaya za upangiliajia wa vipindi vya redio na tv, pia urushaji wa kubahatisha wa matangazo mubashara. Vile vile Watanzania wengi wanasema vipindi vya kuelimisha ni vichache sana au hakuna kwa baadhi ya Redio na Tv's.
Wewe kama mpenzi wa habari na mawasiliano unadhani ni matatizo gani makubwa ambayo karibia kila Tv's na Redio za Tz lazima huyakute. Pia nini unahisi kikifanyiwa mabadiliko utajisikia huru kuangalia au kusikiliza media za Tz. Kuwa huru kujieleza kama JF ilivyo huru kwa watumiaji wake.
N.B. Kumbuka Uzi huu haujalenga chombo fulani cha habari, kwahiyo siyo sahihi kutaja chombo chochote cha habari au kutaja jina la mmiliki au mfanyakazi husika. Asante.
Kwa wale wachapa kazi wenzangu, Hongereni sana tena sana kwa Uwajibikaji makini wa kusukuma mbele Gurudumu la maendeleo ya "Tanzania ya viwanda". Hakika tutafika.
Pia niwape Pole sana kwa majukumu mazito waliyonayo wale wenzetu Wavivu, Waongo na Wambea. Poleni tena sana.
Wakati Tukiwa katika maoenyesho Makubwa ya kimataifa ya biashara na viwanda ningependa tujadili kero na matatizo ya industry nyeti kabisa ya Habari, Burudani na Michezo. Lakini ningependa leo tuzungumzie sana Tasnia ya Habari na mawasiliano hususani Tv's na Redio.
Kumekuwa na malalamiko mengi mno kwa wapenzi wa habari kwamba vyombo vyetu vya habari hususani Tv's na Redio havifanyi vizuri kutokana na huduma mbaya za upangiliajia wa vipindi vya redio na tv, pia urushaji wa kubahatisha wa matangazo mubashara. Vile vile Watanzania wengi wanasema vipindi vya kuelimisha ni vichache sana au hakuna kwa baadhi ya Redio na Tv's.
Wewe kama mpenzi wa habari na mawasiliano unadhani ni matatizo gani makubwa ambayo karibia kila Tv's na Redio za Tz lazima huyakute. Pia nini unahisi kikifanyiwa mabadiliko utajisikia huru kuangalia au kusikiliza media za Tz. Kuwa huru kujieleza kama JF ilivyo huru kwa watumiaji wake.
N.B. Kumbuka Uzi huu haujalenga chombo fulani cha habari, kwahiyo siyo sahihi kutaja chombo chochote cha habari au kutaja jina la mmiliki au mfanyakazi husika. Asante.