Recent content by zoesappien

  1. Z

    Mama Regina Lowassa afanya kufuru Morogoro

    Hata Mimi nampenda huyu mama sijui kwa nini.
  2. Z

    Diamond kuwa msanii wa kwanza kuumizwa na siasa

    Binafsi nitarudi kuwa mshabiki wa diamond uchaguzi ukiisha, kwasasa diamond ananipotezea muda.
  3. Z

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Maswali yako yanaonekana yana tija, nadhani wewe unafaa kulisaidia jeshi la polisi.
  4. Z

    Tetesi Kwa Walimu Kuongezwa Mishahara

    Siku zote walikuwa wapi
  5. Z

    Magufuli atangaza neema nchini. Kufuta masharti ya uzoefu wa ajira

    Anachekesha kweli Huyu. Binafsi nikiwa km director siwezi kuajiri mtu asiye na uzoefu...
  6. Z

    Aunt Ezekiel na Ray wamerudi CCM

    Aliondoka slaa UKAWA haikutetereka. Sina hofu na kuondoka kwao coz hata walipokuja Mimi sikunotice.
  7. Z

    Wapenzi wa mashuleni, vyuoni

    Ukiwa huna jicho la kuona unapoelekea ndoa itakujaje? Hayo ni maamuzi ya wawili au tamaa tu. Mbona wengine tumekutana na wake zetu vyuoni.
  8. Z

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    We ota tu ndoto zako za mchana mchana, CCM warudi tena madarakani wapiga kura tumerogwa au?
  9. Z

    Lowassa utusamehe sisi wana CCM, ni kosa lipi lisilohitaji msamaha?

    Ni kweli, CCM tumuombe msamaha lowassa coz km uchaguzi ungefanywa Leo kweli tungeshindwa. Tufumbue macho tujisahihishe.
Back
Top Bottom