chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 12,026
- 34,796
Mbona wanaulizwa wanamtaka nani wanajibu Lowassa humo ndani ya mikutano yenu mbele ya Magufuli na kikwete au hauoni hizo video?ccm pamoja na kubeba watu sijui,kutumia wasanii,ndio mbinu yao na miaka yote inawatoa.
hakuna mtu analazimishwa kwenda,,,ukiona nyomi ya magufuli mara nyingi ni wapiga kura serious,
nyomi ya lowasa ina mchanganyiko na wengine hawatampigia kura