Tetesi Kwa Walimu Kuongezwa Mishahara

Tetesi Kwa Walimu Kuongezwa Mishahara

Walishasemaga Kua Hata Walimu Mkiwanyima Kura Wote Nyie Ni Wachache Na Katika Population Ya Bongo Ya Watu Million Ya 40
 
Wafanyakazi wote wa serikali wameongezewa kimya kimya na wanapata pesa nzuri sasa hivi,Mfanyakazi mmoja afya amenidhibitishia tangu mwezi uliopita ila hata wenyewe wamekaa kimya wanaogopa kuwa mlipuko wa bei utapanda na wengi watadaiwa sana na wakopaji.Hilo la walimu inawezekana maana si wameandikiwa barua kuwa wote lazima wamuage(Kibamba sec) kama ule uzi humu ndani ulivyoelezea!!
 
Wafanyakazi wote wa serikali wameongezewa kimya kimya na wanapata pesa nzuri sasa hivi,Mfanyakazi mmoja afya amenidhibitishia tangu mwezi uliopita ila hata wenyewe wamekaa kimya wanaogopa kuwa mlipuko wa bei utapanda na wengi watadaiwa sana na wakopaji.Hilo la walimu inawezekana maana si wameandikiwa barua kuwa wote lazima wamuage(Kibamba sec) kama ule uzi humu ndani ulivyoelezea!!

Ngoja Mshahara Utoke Walimu Watatujuza Kua Kuna Nyongeza Ama Laaa Ni Macho Kodo
 
hakuna mshahara unao ongezwa mwez wa 9.nyongeza zote za watumish wa serikal huwa mwanzoni mwa mwaka yaan mwez wa 7.
 
Mabadiliko Lowassa! Lowassa mabadiliko.

Siasa Bana Hapana.Mie Naogopa Siasa Za Bongo.Ngoja Tar25 Tutaona.Cha Msingi Wapunguze Makato Ya Kodi. Ha Ha Haa Maneno Ya Tinga Tinga Huko Kahama Leo
 
Mhhhhhh sidhan kama ni kwa walimu wote, wanao weza ni wale waliokuwa wamefikia bar (daraja E,)
 
Waongeze wasiongeze raisi wangu namjua inawezekana wakaongeza kweli coz wanahali mbaya ki kampeni so hiyo ndo trick yao ilio baki
 
Nyie walimu utadhani nyie ndio watumishi pekee dunuani
 
Back
Top Bottom