Jambaziiiiiiiiiiiii hahaAnatabasamu kama malaika kweli Lowassa alichangua mke na sis wapenda mabadiliko tusimwangushe Rais wetu mtarajiwa Lowassa!!
Jambaziiiiiiiiiiiii hahaAnatabasamu kama malaika kweli Lowassa alichangua mke na sis wapenda mabadiliko tusimwangushe Rais wetu mtarajiwa Lowassa!!
Bavicha bhana wamebaki kusifia tuu wake za watu utafikiri uzuri ndio kura...
Bukanga jamaa anauliza "Uzuri ndiyo kura..." wewe ni mtu wa amali hebu tupe mwanga kidogo!!
Wapi J.Mshumbushi..??
Mke wa kuful amejificha wapi?
Wapi J.Mshumbushi..??
kunywa juice ya marimao.Bora hata huyu mama angekuwa mgombea wenu. Mpaka sasa ameongea kwa muda mrefu kuliko fisadi.
:-D:-D:-Dnajua hata wewe unajishangaa.Bavicha bhana wamebaki kusifia tuu wake za watu utafikiri uzuri ndio kura...
Nampenda sana huyu mama, hata sijui kwanini...