Recent content by ZIRO

  1. ZIRO

    Tuelimishane: Sakata la Mafuta ya kula (TRA vs. TBS) - Hiki ndicho kinachobishaniwa

    Hapo kuhusu rules of origin na haya mafuta umeingia chaka hata haihusianii.... Kasome vizuri rules of origin
  2. ZIRO

    RC Makonda na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mulikeni baa ya Domo la Simba iliyopo Mwanagati

    Kwann wewe usijaribu kwenda kuwafanya wawe na maadili mema mpaka Ben afanye? Wewe una wivu tafuta hela zako acha tamaa
  3. ZIRO

    RC Makonda na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mulikeni baa ya Domo la Simba iliyopo Mwanagati

    Huyo Ben namfahamu ni mstaarabu sana.,hapa inaonesha una chuki nae binafsi za kijinga.
  4. ZIRO

    Waasi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen waushambulia Mji mkuu wa Saudia Riyadh kwa Maroketi

    Bwana mdogo jifunze kuandika maana unaandika kitu hujui hata umeandika nini.. sijui ni umbea wa kukimbilia jf uonekane wa kwanza..... Habari yenyewe fake
  5. ZIRO

    Waasi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen waushambulia Mji mkuu wa Saudia Riyadh kwa Maroketi

    Acha ushamba bwana mdogo unajua maana ya link? kuna link gan umeweka hapo juu zaid ya picha umescreenshot....!!
  6. ZIRO

    Serikali: Taarifa ya umri wa kudahiliwa kidato cha 5 ilikosewa. Ni kuanzia miaka 25 badala ya miaka 20

    Wabongo bhana,hiyo IQ kubwa mmeipimaje?.. Acheni kukuza mambo
  7. ZIRO

    Viwanja Moshi Kilimanjaro,

    Fafanua vizuri moshi sehemu gan, size na bei watu tuje pm. Tangazo halijakamilika
  8. ZIRO

    Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

    Watakua na akili za hovyo kama wabongo kweli?
  9. ZIRO

    Sababu ya kulipuuza gazeti la the Economist

    Kwan wewe unacholalamika ni kuandikwa uongo au wewe tu kuandikwa kila mara na si wengine??.. Maana wewe Jinga inaeza ukawa hujui unacholalamika na sishangai ni elimu ya hovyo iliyochanganywa na siasa za buku 7 inakuchanganya
  10. ZIRO

    Sababu ya kulipuuza gazeti la the Economist

    Usiwapangie cha kuandika.. wewe unataka waandike unachopenda wewe? Embu tuambie kuna uongo gan hapo wameandika na utuambie ukwel wake
  11. ZIRO

    IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

    kwel bongo vilaza wengi.. Jibu ni 30 yaani(10+5)*2
  12. ZIRO

    Anguko la Millard Ayo liko karibu sana

    Anguko ni lako wewe usio na bundle... Ulitaka yeye akununulie kifurushi? Pambana na umaskini wako na uache wivu
  13. ZIRO

    Uoga wa Serikali/CCM

    Line gani ya kisukuma?
  14. ZIRO

    Uoga wa Serikali/CCM

    Msukuma bwege nakuona
  15. ZIRO

    Mwigulu Nchemba: Hawa wanaouwa sio Watanzania, ndio maana miili inapookotwa wananchi hawashtuki

    Kwa hiyo anakubali ameshindwa kaziiii.. maana sijasikia wakikamatwa.. basi ajiuzulu
Back
Top Bottom