Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,966
Huyo dogo ni wa kawaida, nimefanya mambo makubwa zaidi yake nikiwa na miaka 6.
Sema guts za kumpeleka mzazi wake polisi ndio amenishinda tu hapo. Kwa miaka yangu kwenye 10 niwe mkweli nisingeweza kuwaza kumpeleka mzazi wangu polisi.
Yote kwa yote dogo kaonyesha ujasiri mkubwa sana. Ila sio wa tofauti kivile.
Sema guts za kumpeleka mzazi wake polisi ndio amenishinda tu hapo. Kwa miaka yangu kwenye 10 niwe mkweli nisingeweza kuwaza kumpeleka mzazi wangu polisi.
Yote kwa yote dogo kaonyesha ujasiri mkubwa sana. Ila sio wa tofauti kivile.