ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 947
- 545
njia ni 10+5x2=Mkuu ukifuatilia swali lilivyo, ni kuwa Eqn (4) iko hivi: V + Q x p = ?
Kwa msingi huo, ebu rudia tena.
10+5=15x2
fanya mwenyewe mkuu nimeshachoka
njia ni 10+5x2=Mkuu ukifuatilia swali lilivyo, ni kuwa Eqn (4) iko hivi: V + Q x p = ?
Kwa msingi huo, ebu rudia tena.
Ha ha haaa!njia ni 10+5x2 fanya mwenyewe mkuu nimeshachoka
Ebu nipe link ya hiyo kitu mkuu ya you tube.Acha kuumizwa kichwa wewe, usiwe kipofu, nilishamjibu hili kabla na amekaa kimya tu hakusema kama nilipata au nimekosa, nilimjibu 16 then nikamuuliza zaidi ya mara 5, ndio nikatafuta ushahidi youtube, ingia uone mwenyewe.
Angalia mbavu zisivunjike utawapa shida wanao kupendaHa ha haaa!
Hesabu za hawa jamaa kiboko. Ila wanata uwe mdadisi kweli kweli.njia ni 10+5x2=
10+5=15x2
fanya mwenyewe mkuu nimeshachoka
Nimegundua watu wachache wanapata ila hawajiamini,Wote mnakaribishwa.
Ebu nipe link ya hiyo kitu mkuu ya you tube.
kwel bongo vilaza wengi.. Jibu ni 30 yaani(10+5)*2
Jibu ni 60 japo umepata kiatu 10, picha 5 na filimbi 4 ila mwisho ameuliza 10+5*4 angalia kwa umakini swali la mwisho. jibu litakuwa 60jibu kumi na tisa (19). icho kiatu ni 10, iyo picha ni 5, filimbi ni 4.
Jibu 30 sababu filimbi ni moja itakuwa 10+5*2Jibu ni 60 japo umepata kiatu 10, picha 5 na filimbi 4 ila mwisho ameuliza 10+5*4 angalia kwa umakini swali la mwisho. jibu litakuwa 60
Jibu 44 ni 10+1*4Jibu 30 sababu filimbi ni moja itakuwa 10+5*2