Recent content by Zahor Salim

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

    hili suala Tanganyika inayotakiwa ya mkoloni au ya baada ya uhuru angemuuliza jaji Warioba .Pinda anaonesha dharau kwa tume ya katiba
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Bongo movies...

    hii kiboko sina mbavu kwi kwk kwi
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Tazama jinsi serikali tatu zinavyoweza kupunguza gharama

    mapato ya muungano nayo yatagawia sawa kwa sawa na misaada pasu kwa pasu kwa taarifa yako mapato ya muungano yanatosha kuendesha muungano .usitie wasi wasi hamtakopa kwa bwana zenu wa zungu
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

    bado ngapi kumaliza mpira
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Nape aimba: Uamsho bye bye!

    What a leader! What a speech! Rais Mstaafu wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa CCM (Zanzibar), Mhe. Amani Karume, amewapa darasa zuri la uongozi na demokrasia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama chake na wananchi kwa ujumla hasa kuhusiana na mwelekeo wa siasa Zanzibar. Alisema...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Karume ndiyo thabiti zaidi na yenye manufaa kwa CCM ya leo na kesho!

    What a leader! What a speech! Rais Mstaafu wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa CCM (Zanzibar), Mhe. Amani Karume, amewapa darasa zuri la uongozi na demokrasia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama chake na wananchi kwa ujumla hasa kuhusiana na mwelekeo wa siasa Zanzibar. Alisema...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania CUF yakanusha kadi kurudishwa!

    Nimeulizwa sana kuhusu matokeo ya Uzini. Bahati mbaya kama ilivyo kawaida ya Watanzania walio wengi huwa hatufanyi utafiti, uchambuzi wala upembuzi na badala yake tunakuwa wepesi wa ku-draw conclusion. Kumekuja analysis kuwa Chadema sasa inaipiku CUF kwa kushika nafasi ya pili na wengine...
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Changamoto za wakulima

    huko bupu ekari moja inauzwaje? ina vary kuanzia kiasi gani
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    mkuu ule mpango wako wa kulima halizeti kule bagamoyo ulifikiwa wapi ? Kama una business plan ya kilimo cha mananasi nakuomba utulilie kwenye kilomo group
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    mkuu ule mpango wako wa kulima halizeti kule bagamoyo ulifikiwa wapi ? Kama una business plan ya kilimo cha mananasi nakuomba utulilie kwenye kilomo group.
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Tunaisubiri kwa hamu hiyo business plan
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada

    Hivo viwanja ya mbuyuni vinauzwa bei gani
  13. Z

    JamiiForums Tanzania CHAI Day 5 Feb 2011 Dar: Kujadili fursa katika Kilimo na ufugaji

    MKUU leo nategemea kutuma
  14. Z

    JamiiForums Tanzania CHAI Day 5 Feb 2011 Dar: Kujadili fursa katika Kilimo na ufugaji

    Nategemea kuhudhururia kwenye kikao
Back
Top Bottom