Mara nyingi waliosomea kijijini ndo wana post kama hizi hasa waliofika Dar sababu ya chuo lakini tulio soma hapa tukaona raha na karaha hata hatukuwai kubonyeza battone ya mzuka wako licha ya ivo viwani ivo.......
1.Wanafunzi wa sekondari jitegemee kuvaa kaptura zilipendwa
2.Kutumia simu ya motorola zilipendwa
3.kununua nguo za ckukuu zilipendwa
4.Tatizo kwetu mbagala zilipendwa saiv tatizo kwetu Vingunguti
5....................tupia na nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu yaweza kuwa zaidi ya moja lakini kwa haraka haraka hapo ni kwamba ile pointing ya graph inaweza kusoma na hata kabla ya exert location kwaiyo wewe kwa sasa ukiangalia ilipita wap baada ya kutoka sio inaweza usiwe na majibu lakini pia em jarbu kuview kwa 1 min if not wakat mwingine brokers...
Wakuu uzoefu mlionao katika mabroker mbalimbali naomba kujuzwa broker anaeweka spread (Currency defference btn buying and selling) ndogo kuliko wengine...............nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa inawezekana ananyoosha sana mguu alafu analenga kipa badala ya goli.....em siku nyingine aweke mpira nje ya 18 asipende kupiga penalty wenda ana shooty za Rooney kwa akipga mpira kwa mbal kdogo haitakuja kwa kas sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mi sioni tatizo ni mbwembwe tu za watoto wa mijini kushindana na mama waume zao......kataka kumkumbusha mwanae chakula cha zaman shida nini mwache apike we unafanya bifu na mamako utafikir mke mwenzako alaf wewe dada acha kusimulia kila kilicho ndani kwako kwa watu.
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.