AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 7,027
- 5,861
Soma post yangu #14 hapo juu.Nimeingia link hiyo nikadownload MB kama 110 hivi. Nimeenda kule kwenye downloads manager kucheki nmekuta,ila haifunguki. Nmerudi tena hapa kuingia link inaniambia nidownload tena. Nmechoka hoi!