Recent content by yumbu

  1. Y

    Wananchi waziba njia kusimamisha Mabasi ya UDART leo asubuhi

    Hii imenikuta mm mara myingi apa kona. Sioni tija ya mastaff wanaokaa vituoni pamoja na askar.. Hakuna wanachofanya.. Abiria wanasubilia sana
  2. Y

    TBS wafungia kiwanda bubu cha kuchakata vilainishi

    Hapa atakuwa na maana ya oil za magari (lubricants) Siyo mnavyofikiria
  3. Y

    Usichojua kuhusu makanisa ya kiroho

    Omba kwa imani utafanikiwa
  4. Y

    Ukuaji wa lugha ya Kiswahili: Neno Mbashara

    Itv mubashara
  5. Y

    Sniper in Dallas: Polisi wetu mmejifunza?

    Americans busy on promoting gays and lesbians movements and remain nully on racism.. shame to you pole... I should not come us and call for humans right in which u can't live it..
  6. Y

    Bring back our UKAWA asilia

    Hahah nyumbu bana
  7. Y

    Bring back our UKAWA asilia

    #JamboLEO Wabunge UKAWA kwenda mahakamani baada ya kunyimwa posho kutokana na kuingia bungeni kusaini kisha kutoka millard ayo on Twitter Nasoma kitabu cha darasa la nne 1999 SIZITAKI MBIVU HIZI.
  8. Y

    UKAWA kwenda kudai posho mahakamani

    #JamboLEO Wabunge UKAWA kwenda mahakamani baada ya kunyimwa posho kutokana na kuingia bungeni kusaini kisha kutoka Nasoma kitabu cha darasa la nne 1997 SIZITAKI MBIVU HIZI.
  9. Y

    Waingereza: Wazenji somo la kujifunza!

    Wajitengetu hata mademu yao mabaguzi muno.. Miaka 50 bila kupata demu wa kipemba..waende tu
  10. Y

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Wadau nataka kupanda vitunguu maji na pilipili hoho maeneo ya kisarawe. Naomba wadau mnisaidie ushauri pamoja na soko . Asante.
  11. Y

    Tabia ya abiria kuzunguka na mabasi ya mwendokasi, uongozi utoe tamko

    Wako sahii kabisa kuzunguka nayo. Kinachowafanya wazunguke ni kwamba gari linapofka pale wakati wa kurudi halisimami linakuwa limejaa sana.. Pengine na wao wahitaj kukaa kwenye siti. Kama wanataka wasizunguke waruhusu magar baadhi yazunguke bila kupakia yakifka mwisho halafu yapakie abiria wa...
Back
Top Bottom