Ukuaji wa lugha ya Kiswahili: Neno Mbashara

ijoz

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
731
709
Sikuwahi kufahamu kuwa katika kiswahili kuna neno linaitwa mubashara, likimaanisha "matangazo ya moja kwa moja yaani live".

Jana kwa mara ya kwanza nilivyoona hilo neno chini ya nembo ya ITV nilidhani ni kifupisho cha maneno fulani.

Hivyo tuendelee kujifunza lugha yetu adhimu:

Mbashara (si mubashara) = Live
Sharubati = Juice
Tufaa = Apple
Nywila = Password

IMG_2993.JPG
 
Bila shaka. Pia ni muhimu tuache usisisi katika lugha yetu adhimu.

Kimfaacho Mtu chake.
 
Back
Top Bottom