Salamu wadau
Mimi ni miongoni mwa wakulima wa vitunguu na mboga mboga tunaotumia maji ya Mto Ruvu, wilayani Same mkoani Kilimanjaro. Tokea wiki iliyopita kumekuwa na Mafuriko ya maji ya mto, kiasi kwamba wakulima wengi wameshayakimbia mashamba yao yaliyokuwa yamepandikizwa vitunguu. Tunatambua...
Rupia au Rupee ni feza ya Wabaniani. Hata sasa, currency ya India ni Rupee kama sisi tulivyo na Shilling na Zambia walivyo na kwacha. Picha ya kwenye sarafu na majina ni ya watangulizi wa Malkia, though lugha iliyo tumika ni kilatini au kirumi (I stand to be corrected). Nahisi siyo Rupia
Kina umri gani toka umeotesha?
Umewahi tumia dawa za ukungu?
Pattern ya umwagiliaji ikoje?
Kama kuna wakulima wazoefu karibu, mwambie awaite wampe ushauri.
Anza wewe kumtambulisha kwenu. Hata zamani za wahenga, kijana wa kiume alikuwa akipata mchumba a nawaambia ndugu zake kwanza, then ndugu zake wanascout na kuja na taarifa sahihi za mchumba.
Almost kila kabila lina taratibu zake. Ulizia wa kubwa taratibu za kwenu zikoje. Then muulizie na mwenzio taratibu za kwao zikoje. Kama nyie ni miongoni mwa waliopoteza ukabila na kuwa wa swahili, then ushauri wa barua plus mshenga utafaa zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.