Kwanini makaa ya mawe hayatumiki majumbani?

Kwanini makaa ya mawe hayatumiki majumbani?

Hivi haya makaa yetu ya mawe yanaubora? mbona makampuni wanayafuata ya afrika ya kusini wakati huko ni mbali na wanataka kupata faida?
 
Hapa Songea Town yanauzwa kg 1 _400 yamechongwa yamekua madogo hivi.
muuzaji alinambia yanafaa kutumika hata kwa sufuria za kawaida
 
Niliukuta saba saba ymetengenezwa special na majiko yake.
 
Yana moto mkali sana ambao hautafaa katika haya majiko ya kaida....
Nakumbuka miaka ya 1990's bi mkubwa alikuja nayo home, akawasha kama mkaa wa kawaida then akapika wali, yaani ile kitendo cha kwenda nje tu dakika kadhaa anarudi anakuta bonge la tundu katikati ya sufuria na wali wote umekuwa majivu, ilikuwa ni mikosi yaani.
 
Kwanishati ya kupikia bado,tuyaacheni yatumike kuzalishia vitu vingine
 
Back
Top Bottom