BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 4,081
- 8,432
Usijekuwa unadangwa yakhee.anyway kwanza lazma ujue mazingira ya kwenu na kwao yapoje.Kwanini mkuu
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
Pia uangalie na wew upoje.kuna uchumba wa kisasa yaani kutambulisha kwa wazazi tu kabla ya kutoleana posa.
Kuna uchumba ww heshima huu upo kikubwa zaidi huu ni kupeleka cha uchumba kwa kina mchumba ili familia iwe inajua kuwa huyo tayar ana mtu.
Shika hili maana tutakuchanganya,fanya ivi mwambie mchumba ako awaambie kwao kuwa anamchumba ake anataka kumleta wamjue jibu utakalopewa utakuwa umeshajua makorokoro mengine kuwa uende kizaman au kisasa
Pia wakat huohuo na wew waambie kwenu kuwa una mchumba na karibun utamleta kwenu wamuone
AKILI ZA KUAMBIWA TUMIA NA ZAKO