Hivi bei za SA kwa BMW X5 diesel ya mwaka 2008 mpaka 2012 ni bei gani mpaka dar+tax?
Na vp kuhusu ishu za udanganyifu nasikia kuna baadhi wanauza halafu ukishaisajili huku wanareport kule imeibwa, interpol wanakudaka, hiyo imekaaje, yaani kuna magari ya wizi pia mengi kutoka SA.
Za uingereza...
Ukimchunguza sana bata utashindwa kumla.... Wanawake wanamatatizo mengi sana ya mambo ya uzazi kama fibroids, hormones n.k pengine anajua presha za wakwe na mawifi akiolewa ndoa isijibu itakuwa tatizo ameamua kutibu tatizo mapema....sijajua wewe unawasiwasi kwa upande upi, unahisi ametoa mimba...
Kama muislam oa mke wa pili, muhimu usimnyanyapae tu. Mjali, mthamini ila akili kichwani ukimuendekeza huyo kichwa asie na ubongo utaumia, haja zako zitimize kwingine umri wako bado usijidhulumu lakini pia fikiria ingekuwa wewe unao yeye hana ungependa afanyeje..
Kuna jamaa anaitwa 'google' huyo anataarifa nyingi sana kama 'ze english' inapanda. Sikuhizi biashara inafanyika online kabisa. Usisumbuke kwenda mpaka canada kumbe demand ya gems hamna. Hebu tumia gugo vizuri.
Nadhani labda swali la msingi ni je utolewaji wa bure utakuwa wa quality ipi? Kimsing sioni tofauti yeyote itakayotokea ukilinganisha na sasa, na sidhani kama kuitoa bure kutatupeleka mbele. Kwa sasa shule ya msingi ni bure na sekondari ni elfu 20 mpaka 70 (mnaojua mnisahihishe). Hii ni gharama...
Umeshatoa mimba ngapi? Unawapenda wote 50/50? Chagua jibu sahihi hapo chini.....
1. Olewa na mwenye mimba aibu ndio gharama ya makosa yako...ya kutoa kavu kavu!
2. Mwambie mchumba ukweli kama kweli ameoza atakubali kulea mzigo wa watu...chances za yeye kukubali 19%...lakini ni chances uzuri...
Biashara halisi ambayo inafuata mifumo ya kiuchumi ni ile inayozingatia mabadilishano ya bidhaa (exchange of products). Hivyo biashara kama za hisa/bonds/future/derivatives ni mfani ya uchumi usio halisi kwa sababu haumbatani na mabadilishano ya bidhaa bali ni makaratasi na fedha. Uchumi wa aina...
Back to basics....
Nenda kapime minyoo au simply kunywa dawa za minyoo...
tumia food supplements ambazo ni maalum kwa kuongeza uzito
kula vyakula vyenye protein na fat (kuwa makini usitumie unheathy fatty food ambazo zaweza leta madhara kiafya)
Kula milo mitatu mizito na midogo midogo miepesi...
Sidhani kama anamaanisha umuoe right away...anamaanisha muwe marafiki (bf/gf/fu*k mates) then hesabu zikikubali ndio mengine yfuate....nadhani ni weird msichana akwambie anakutaka kwa ajili ya kuwa f* mate...japo hilo laweza kuwa lengo...kutunza heshima yake anaingia kwa gia kubwa ya...
SIDE A.....Nadhani hiyo bikira unaiweka mbele sana kama ndio kila kitu mpaka una-loose touch ya wewe ni nani na unatakiwa ku-play yourself katika hivyo videti vyako....Don't make that loose vestigial skin a big deal and a leverage/ticket to relationship life...be yourself and play normal....when...
Brother, najaribu kujiweka kwenye shoes zako.....nahisi kimsingi hujasomea kitu unachokipenda bali ni yale mambo ya nafasi za uchina/asia na eastern europe.....mwisho wa siku unamaliza unagundua hiyo elimu kwako sio mafanikio....lakini yaliyopita si ndwele.......chakufanya hapo ni kuitumia hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.