Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,831
Mimi huwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu mtu kwamba ni mtu. Ni kitu gani haswa kinachomfanya yeye aonekane ni tofauti na vitu vingine.
Na inavyo onekana yeye ndiye anaye control vitu vyote duniani.
Swali langu tu ni kwamba ni kitu gani kinachomfanya mtu awe mtu?
Je mwanadamu anaweza akamtengeneza mtu?
Wanadamu wamefanya experiment mbali mbali kubadilisha viungo vya mtu na wameweza.
Je kuna siri ipi ambayo mwanadamu anashindwa kuunda mtu?
Je kwenye mbegu za mwanaume na yai la mwanamke kuna siri ipi?
Je haiwezekani tukatengeneza viwandani mbegu za kiume na yai la kike halafu tukapata mtu?
Jamani Greater thinker plz hebu jaribuni kunieleza japo nipate machache kwenye maswali yangu.
Na inavyo onekana yeye ndiye anaye control vitu vyote duniani.
Swali langu tu ni kwamba ni kitu gani kinachomfanya mtu awe mtu?
Je mwanadamu anaweza akamtengeneza mtu?
Wanadamu wamefanya experiment mbali mbali kubadilisha viungo vya mtu na wameweza.
Je kuna siri ipi ambayo mwanadamu anashindwa kuunda mtu?
Je kwenye mbegu za mwanaume na yai la mwanamke kuna siri ipi?
Je haiwezekani tukatengeneza viwandani mbegu za kiume na yai la kike halafu tukapata mtu?
Jamani Greater thinker plz hebu jaribuni kunieleza japo nipate machache kwenye maswali yangu.