Hizi hospitali za serikali ni vichekesho kweli saa nyingine kuna moja nilienda kuhudumiwa meno nakutana na mlinzi mlangoni ndiyo mtu wa kwanza kukukaribiaha hata salamu hamna lete risiti ukitoka uko ndan anakufungua na mdomo kuhakikisha kama hujang’oa ni hospitali ya mkoa wa kilimanjaro hata...
Mm ningeshauri mjitenge na upendeleo wa kisiasa vyama vyote ni vya tanzania mjitoe kwenye biasness ya uccm TBC ni ya watanzania wote na si ya Chama kingine mpende kuutangaza ukweli hata kama haumfuraishi mtukufu flani la mwisho ni muwe na utaratibu wa kuweka records na kuzifuatilia especially za...
Hivi hili swala la umeme kuingia moja kwa moja ukishaulipia kama ilivo kwenye ving'amuzi limewashinda kabisa ama ndo mnaamua tutembee na remote kutafuta network?
Ila ukisikiliza kisa hiki kuna walakini
Maana wa kujinyonga mara nyingi haiwagi hivi
(1)uage na kanzu kabisa kuna m2 naenda kumwona nje
(2)No death note
Mords naombeni muifute hii news kwa sababu mtoa news ametumia picha ya mtu ambaye ni mtoto wa wa tumishi wa Mungu na mm ni miongoni mwa ndg zake hatujapendezwa na kitendo hicho hivyo tafadhali naomba ifutwe haraka iwezekanavyo hii news na picha ya mdogo wetu vinginevyo tutawaripoti kunakohusika.
Tofauti iko hivi yy alikuwa anasimamia upande wa money is beter than education na nyie mlikuwa mnatetea upande wa education is beter than money hivyo basi hamtokaa mkakutana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.