Recent content by YetuMacho

  1. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Lulu afunguka kuhusu mimba yake, kuolewa na kutengana kwa wazazi wake

    Miezi michache iliyopita mwanaBongomovie Lulu aliamua kumtangaza mpenzi wake hadharani kua ni Majay, mkurugenzi wa Efm. Na maswali ya mashabiki wengi yakawa ni kweli watadumu au ndo atakua kafika na kuamua kuolewa???? Lulu aliamua kujibu maswali hayo pale alipoamua kujibu maswali aliyokua...
  2. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Video: Wema Sepetu ajitabiria kifo

    Watu wengi hupenda mafanikio au wengi hupenda kua maarufu, mfano mzuri ni mwanadada Wema Sepetu. Ni mmoja wa waigizaji wa kike wachache wenye mashabiki wengi zaidi. Na katika hilo amefungua miradi mingi ikitumia jina lake mfano ni ile TV Show yake ya Wema In My Shoes, Lipstick za Kiss By Wema...
  3. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Ommy Dimpoz asema ana utajiri wa milioni 400

    Kama ni kweli basi Dimpoz atakua na pesa ndefu, Ommy Dimpoz anapiga madili ya hela ndefu. Siku chache zilizopita Ommy Dipoz akiwa na mastar wenzake alipokea simu ya dili la milioni 400 unajua alichokisema???? Utashangaa sana hebu mskie mwenyewe kwenye video hii.....
  4. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kumuoa Lulu lazima uwe na vitu hivi, msikie mwenyewe hapa

    Ikitangazwa shindano la Lulu Husband Search naamini vijana wengi wa kiume watajitokeza kuwania nafasi hiyo moja. Lulu ni mmoja kati ya wadada warembo zaidi hapa Bongo na wanaojua vizuri kuvaa viwalo na wakapendeza. Ni wengi wanatamani kua wapenzi wa Lulu ila kama utabahatika kua mpenzi wa Lulu...
  5. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Skiliza kionjo cha wimbo mpya wa Nay Wamitego - Kati Patamu. TCRA watauacha??

    Wengi wanamjua Nay Wa Mitego kwa kutoa nyimbo nyingi sana zikiwa za utata, mara nyingi hua anawachana watu maarufu bila kuwaogopa au ujumbe ndani ya nyimbo kua na utata. Haya basi katika pitapita zetu tumepata kionjo cha wimbo wake mpya ambao bado haijajulikana hasa utatoka lini. Wimbo huo...
  6. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu akubali ndoa na Idris, asema haya kuhusu ndoa yao itavyokua

    Penzi la Wema na Idriss kwa sasa linazidi kupamba moto, mpaka kupelekea Wema Sepetu kuanza kuwaza kufunga ndoa na Idriss. Wema alifunguka hayo katika video alipoulizwa na shabiki yake ni lini atafunga ndoa na Idriss. Na Wema Sepetu alifunguka hivi.......
  7. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Mama Wema Sepetu akiwachamba wale wote wanaosema mwanae ana umbo feki

    Siku za karibuni kumekua na picha nyingi zmesambaa zikimwonyesha Wema Sepetu akiwa na umbo ambalo watu wengi hawakulielewa na wengi walikimbilia kusema kua Wema anatumia dawa za mchina kungeza makalio. Team Wema wengi walijitokeza na kumtetea Wema kua zile picha zilikua Edited huku wengine...
  8. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Kwa mtoko mmoja, Wema Sepetu anavaa vitu vyenye gharama ya zaidi ya milioni mbili

    Moja ya kitu kinachomtofautisha mtu maarufu na wakawaida mara nyingi ni kujulikana kwake na mavazi anayovaa. Kwa mfano mzuri tu ni hapa Bongo watu wengi maarufu wamekua wakionekana nadhifu sana kwa kuvaa nguo za gharama. Kwa mwananchi wa kawaida kununua nguo ya Laki moja ni jambo gumu sana ila...
  9. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Idris Sultan aanza kutoza pesa kwa wanaotaka kiki kutoka kwake

    Kiki ndio kila kitu hapa mjini, wasanii na watu wengi hapa Bongo wamekua maarufu kutokana na Kiki au Skendo zinazosambazwa kuwahusu wao. Wapo waliofanikiwa hadi maisha yao kua mazuri kutokana na kiki au skendo wanazojizushia ili wajulikane na watu. Sasa kutokana na watu kuhitaji kiki basi...
  10. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Kwa uzuri huu wa demu mpya wa Diamond Platnumz, Zari atasubiri sana

    Japo kua Diamond amezaa na Zari na kupata mtoto Tiffah, ila kwa sasa kuna tetesi kua Diamond Platnumz anatoka na demu mpya Aitwa Irene. Kwa taarifa zakuaminika kutoka kwa watu wa karibu wa Diamond zinaonyesha ni kweli Diamond anatoka na msichana huyo Toka Mwaka jana. Sasa huko instagram kumekua...
  11. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Ommy Dimpoz nae kaamua kutoboa pua na kusema haya

    Kuna uwezekano mkubwa hii style mpya ya wasanii wa kiume kutoboa pua ikaenea kwa wasanii wengi zaidi. Ilianza kwa msanii Chid Benz ambae mara baada tu ya kuonekana katoboa pua ilikua gumzo sana sio tu magazetini hata mitandaoni huku wasanii wengi wakipingana na maamuzi yake. Itakumbukwa pia kua...
  12. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Alichokisema Ali Kiba kuhusu wimbo wa Diamond anaoupenda hiki hapa

    Kwa sasa Ali Kiba anafanya ziara katika vituo mbalimbali vya Radio na wiki iliyoisha alikua TBC FM akifanya mahojiano na D Jaro Arungu na Baghdad. Katika Interview hiyo alielezea mambo mengi sana ikiwemo kuvuja kwa wimbo wake, video ya wimbo huo wa Aje pamoja na dili lake la Sony. Ikafika...
  13. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Video : Ali Kiba akubali kua ni kweli hajui kingereza

    Ni mara chache sana unakutana na msanii na anakubali kua lugha ya kiingereza inampiga chenga. Nakumbuka msanii AY alikubali kua miaka kama 13 nyuma hakua akiiongea kugha hiyo kwa ufasaha lakini baada ya mazoezi mengi kwa sasa yupo vizuri. Siku chache zilizopita msanii Ali Kiba alikubali kua...
  14. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Hii ndo sanamu ya Freemason iliyopo nyumbani kwa Nay wa Mitego

    Nay Wa mitego amekua akihusishwa sana na Freemason, hii ishu haijaanza leo imeanza toka kitambo. Hii ni kuanzia alama ambazo mara nyingi amekua akizionyesha katika video zake na hata namba za gari zake 3 ambazo zimekua zikihusishwa na mambo ya Freemason. Sasa Nay Wa Mitego kaamua kutuonyesha na...
  15. YetuMacho

    JamiiForums Tanzania Video : Jionee wizi mpya wa Mpesa na Tigo pesa, jamaa kaibiwa 723,000

    Utapeli umekua mwingi sana hapa mjini, watu wengi wanatapeliwa kila siku. Kutapeliwa ni kutapeliwa tu haijalishi ujanja utakaotumika ni wa sasa au wa zamani. Ila siku za karibuni kumetokea aina mpya ya utapeli ambao wahathirika wakubwa ni watu wanaotoa huduma za Mpesa na Tigo Pesa. Kama...
Back
Top Bottom