Haya ndo majibu ya watumishi loan board hata sishangai
Hata last week loan officer alikua hapo kwenu na majibu anayoleta ni ya kupuuzi kama hili ULILOTOA
I'm not sure kama elimu yako imekusaidia kama hata communication skills hamjui
Utoto mwingi
Barua tulizoandika ninakopi zake
Yaani zinaweza jaaa ndoo kubwa ya maji
Kwa kweli mambo mnayoyafanya sio sahii
Majibu yenu yanakwaza n.a. inahitaji uvumilivu wa hali ya juuu kuondoka pale hujakasirika
.
.
Mifano kuna dada mmoja alikua Ana Mimba mwaka jana kipindi nafuatilia alikua...
Well
Barua kutoka kwa Loan officers wote wale wa chuo cha zamani na chuo kipya tulishawaletea hapo kwenu n by the way tulikuja mkatuambia mara pesa hazijarudishwa kutoka chuo cha kwanza
Mara cjui nini tukawaulizeni sasa utaratibu wa kufuatilia ukoje mkajibu tunawatumiaga sms au kuwapigia...
Wewe TE="Bacary Superior, post: 20952735, member: 233420"]NAKUJIBU MIMI HAPA
MAJINA YA TRANSFERS YOTE YAMELIPWA PESA MWEZI WA TATU NA MKOPO WAO UMEINGIA VIZURI TU. kabla sijaendelea ngoja nikuulize we boom la kwanza ulisainia wapi?
Wewe just be polite
Mimi ni second year now
Nilihama chuo last...
Habari zenu wapendwa ?
Ni miezi 6 sasa tangu nilipofanya transfer ya chuo mwaka ulioisha
Nilikua napata mkopo kama kawaida lakini tangu nimehama mpaka sasa sijasaini hata shilingi tano
.
Tumekua tukifuatili suala hili loan board kwa muda wote Huu lakini cha kushangaza kila siku tunapigwa...
Sijawahi ona mtu mnafiki kama Ray
Yeye mwenyewe alikua anapinga maendeleo ya kanumba afu hapa anajifanya kuona uzuri wa kanumba
Afie mbali huko kwanza kuigiza kwenyewe hajui
Movie zake ni makelele tuuuuu
Stupid!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.