TVE Hivi wana tatizo na WCB.

Mbona za harmorapa wanapiga waonez hawa sasa sijui redion ikoje
 
wangetangaza vita ili ijulikane kuna vita kama jide na mawingu
 
Nimepata muda wa kuangalia TVE Kituo cha Television kinachomilikiwa na Majizzo kwa muda sasa lakini hawapigi kabisa video (Nyimbo za WCB) Je kuna nini nyuma ya holidays
Kituo hiki kina top 30 kila siku kuanzia 20:00 mpaka 23:00 lakini ndani yake hakuna nyimbo za hawa jamaa
huu nao ni ujinga mkumbwa kuanza kuwagombanisha wasanii na vituo vya radio kwa manufaa yenu.... Nyimbo kutokuwepo top 30 ndio ugomvi? hivi ni nyimbo ya kila msanii hapa Tanzania ipo kwenye hiyo top 30.
Ushabiki wa kijinga na kuchonganisha watu hauna maana na wala haujengi kamwe...
Mimi hiyo Tv na angalia sana haiwezi pita siku nyimbo za WCB hazijapigwa...yani nyimbo kutokuwepo Top 30 ndio uwe ni ugomvi? Mnapowagombanisha wasanii na vituo vya burudani mkae mkijua wanashindwa ni wasanii maana wenye vituo hawana la kupoteza...
Acheni tabia za kitoto.
 
Hao jamaa wa efm na etv mwanzoni niliona ni watu wa maana ila kumbe ni wapumbavu sana. Wanapenda makundi vita zisizo na kichwa wala miguu watawekeza sana ila hawatatoboa.
Hivi hao tv e wanapigana na nani? hivi mnafikri hiyo tv mnaangalia peke yenu? mbona nyimbo za Diamond wanapiga na hao wcb?
 
hili ndilo swali la msingi sana...Mi pamoja naangalia mara moja moja huwa nazikuta nyimbo zao zinapigwa...
Mara chache sana.....afu kuna kitu nakiona ukitoa clouds fm, station kubwa kama ea radio and TV na efm ETV zinacheza nyimbo za diamond na wcb kwa ujumla kwa machale sana yaani unaweza kukuta kwa siku ngoma za wcb zinachezwa kama mbili tu au moja.....hizi ni mojawapo za media zinazopigana kufa na kupona kuushusha ukubwa wa diamond na wcb kwa ujumla.....
 
Hao jamaa wa efm na etv mwanzoni niliona ni watu wa maana ila kumbe ni wapumbavu sana. Wanapenda makundi vita zisizo na kichwa wala miguu watawekeza sana ila hawatatoboa.
hata hujathibitisha ushatukana....we mwenyewe umesema "kumbe"
 
Mara chache sana.....afu kuna kitu nakiona ukitoa clouds fm, station kubwa kama ea radio and TV na efm ETV zinacheza nyimbo za diamond na wcb kwa ujumla kwa machale sana yaani unaweza kukuta kwa siku ngoma za wcb zinachezwa kama mbili tu au moja.....hizi ni mojawapo za media zinazopigana kufa na kupona kuushusha ukubwa wa diamond na wcb kwa ujumla.....
Hivi hii nchi ina wasanii wangapi mpaka iwe lazima nyimbo za hao watatu kila leo zipiogwe? kumbe na wewe umeona zinapigwa mimi nilifikiri na wewe utasema hazipigwi...
 
Huyo majizo muuza ngada wala hata hajielewi, zaidi ya kuvmia gharama kubwa kuweka mitambo na kutumia gharama kubwa kujipromote lakini hawana kipya wala ubunifu wowote wa kutoa - wamebakiza majungu, umbeya na udaku tu
Tz tuna Roho mbaya mnooo
 
Nimepata muda wa kuangalia TVE Kituo cha Television kinachomilikiwa na Majizzo kwa muda sasa lakini hawapigi kabisa video (Nyimbo za WCB) Je kuna nini nyuma ya holidays
Kituo hiki kina top 30 kila siku kuanzia 20:00 mpaka 23:00 lakini ndani yake hakuna nyimbo za hawa jamaa
Mnafiki na mchonganishi mkubwa leo tu nimeona wcb mara mbili au unataka kipindi kizima? Fungua yako uwarushe 24/7 nyambafu who is wcb?, Wee mkubwa fela nini mnajiona wafalme wa Bongo flava? Kampangie mkeo sio biashara za watu
 
HAO WCB WANA NGOMA GANI KALI YA KUTEKA MASKIO YA WATU MPAKA IPIGIWE KURA IWE KWENYE TOP 30?
usiwapangie watazamaji wanaochagua
 
mi sidhani kama kuna shida yoyote wao kutopiga nyimbo za WCB. kuna wasanii wengi tu hapa ambao nyimbo zao hatuzijui. so why kila cku tuskie nyimbo za wachache tu
 
Back
Top Bottom