Wewe unatokea nchi gani??Ray ameongea ukweli watanzania ni wanafiki wakubwa sana tena waliopitiliza...
Kaka unapajua igovu Kumbe kwa mzee kigosi.daaahRay wa Mpwapwa kwa Mzee Kigosi
Naam, napajua fika ila wana asili ya uchizi kwa hiyo usishangae sana anapotoa povuKaka unapajua igovu Kumbe kwa mzee kigosi.daaah
ray hajui kuigiza hajui tu..na hapa sio jukwaa la mapenzi hapa ni jukwaa la celebrities kama hutaki akosolewe hama jukwaa.ray alikupiga kibuti nini naona unaongea kwa chuki sana
Umesahau kabla magufuli hata hajawaza hata kugombea uraisi watu walishasema Tanzania tunahitaji raisi dikteta magufuli ndo type anayefaa amekuja tayari tudhasahau maombi yetuHuhitaji kumfahamu ni nani bali ujumbe wa kweli umefika japo simfahamu na siangalii movie zake lakini alichokisema ni cha kweli. Mimi nitaenda mbali hata Lowasa tulimuita FISADI lakini baadhi yetu wanamuona LOWASA yuleyule ambaye hajafanya lolote lile la kujisafisha na huo uliosemwa UFISADI leo tunasema ni rais wa mioyo....Na hata Magufuli tunayemsema hajui kiingereza akimaliza muda wake tutamshangilia pia hapo ndipo ubaya wa TAIFA lilojaa wanafiki kila kona utakapoliona...........
Umenikumbusha wengine walisema pia kuwa Magufuli alikua anaitumia ilani yao ya uchaguziUmesahau kabla magufuli hata hajawaza hata kugombea uraisi watu walishasema Tanzania tunahitaji raisi dikteta magufuli ndo type anayefaa amekuja tayari tudhasahau maombi yetu