Huko katoliki Yesu hayupo? Ivi kwanini huwa mnapenda kuanza kuwahubiri watu wanaomjua Mungu tayari na badala yake mnashindwa kuwafuata vijana na wazee huko mitaani hawamjui hata Yesu?
Watu wanagongana tena maofisini baada ya kumaliza ndo wanajua wapo ofisini kumbe! Cheza na vingine siyo nyege akili huwa inarudi mbinguni kwa mhusika mda huo
Mkuu mda mwingine naota kama nafukuzwa lakini mara nyingi huwa natesaka sana siwezi kufumbua macho najikuta nahangaika tu hiyo hupelekea nikiamka asubuhi nipo hoi na tumbo linakuwa linaumwa kama nimevimbiwa flani
Mkuu ndoto zangu mara nyingi ni kuota mtu amekufa,mda mwingine kweli siku hiyo nitasikia amekufa,mara nyingi naota naongea na watu waliotutangulia mbele ya haki, mara nakimbizwa na mengine ya ajabu mengi,kwakweli huwa nakosa mpaka amani moyoni kuhusu hizi donto nashindwa kuziepuka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.