Recent content by Yapaswe

  1. Y

    Nina shahada ya Education, naweza kusoma Postgraduate ya Kilimo

    Kivipi mkuu hiyo mara nyingine? Unamaanisha Kilimo hakilipi
  2. Y

    Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

    Naona mwingine kapiga sarakasi huko huko juu ya kifusi
  3. Y

    Kikundi cha kilimo

    Nimeipenda sana hii kitu nipo maeneo ya area five mda wa Kilimo haswaa tena bwana shamba wa kujitegemea
  4. Y

    Taarifa rasmi: Nimeamua kujivua ukristo ukatoliki na ukristu wote kwa mara ya pili

    Huko katoliki Yesu hayupo? Ivi kwanini huwa mnapenda kuanza kuwahubiri watu wanaomjua Mungu tayari na badala yake mnashindwa kuwafuata vijana na wazee huko mitaani hawamjui hata Yesu?
  5. Y

    Taarifa rasmi: Nimeamua kujivua ukristo ukatoliki na ukristu wote kwa mara ya pili

    Nina mashaka na kabila lako.hiyo alama ya kuuliza ulivyiishia vizuri kweli kweli
  6. Y

    Mjadala: Je, ngono ni hitaji muhimu (basic need) au tunajiendekeza tu?

    Yani umenichanganya changanya mpaka sijaelewa
  7. Y

    Mjadala: Je, ngono ni hitaji muhimu (basic need) au tunajiendekeza tu?

    Watu wanagongana tena maofisini baada ya kumaliza ndo wanajua wapo ofisini kumbe! Cheza na vingine siyo nyege akili huwa inarudi mbinguni kwa mhusika mda huo
  8. Y

    Je, umewahi Kupanda Bombardier?

    Dar Lux zikipigwa marufuku nitapanda bombardier
  9. Y

    Ulimwengu wa macho ni mwepesi sana

    Mkuu niliku PM tayari
  10. Y

    Hizi sio ndoto za kawaida

    Mkuu mda mwingine naota kama nafukuzwa lakini mara nyingi huwa natesaka sana siwezi kufumbua macho najikuta nahangaika tu hiyo hupelekea nikiamka asubuhi nipo hoi na tumbo linakuwa linaumwa kama nimevimbiwa flani
  11. Y

    Hizi sio ndoto za kawaida

    Mkuu ndoto zangu mara nyingi ni kuota mtu amekufa,mda mwingine kweli siku hiyo nitasikia amekufa,mara nyingi naota naongea na watu waliotutangulia mbele ya haki, mara nakimbizwa na mengine ya ajabu mengi,kwakweli huwa nakosa mpaka amani moyoni kuhusu hizi donto nashindwa kuziepuka!
  12. Y

    Maisha ni safari..tazama picha hii utakayemuona wa kwanza andika jina lake

    Mkuu unamaanisha Yuda kipindi cha pasaka au
Back
Top Bottom