We Zamwamwa Kaangalie Huko UK mliko-Copy mfumo wa kibunge uone jinsi Kiongozi wa chama cha Upinzani cha Labour na KUB wa Uingereza Sir KEIR STAMER anavyomchachafya waziri mkuu Boris johnson, kama unataka Kusifiwa Mwambie Mkeo akusifie ila kama ni ishu ya Siasa basi upinzani kazi yao ni kuonyesha...
Mkuu Lyamber Umewaza Kama Mimi aisee hawa Wendawazimu Hawakawii Kutuambia Dollar imepanda kwa sababu ya Ziara za Our Incoming President Mr. TUNDU LISSU.
Sent using Jamii Forums mobile app
2020 Lazima kiwake Mkuu Duru zote Zinaonyesha Hivyo kwa sasa Upinzani Tumebakiwa na RISASI moja Tu nayo si Nyingine Bali ni Chuma Cha Mjerumani TUNDU LISSU.
TUNDU LISSU RAIS 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa Jiwe Amefeli Kila Idara Kila Kukicha Kazi yake Ni Kuangalia Tv,kuteua,kutengua,kukesha Mitandaoni na Kupanga Hujuma dhidi ya Wapinzani.
Hana AGENDA ameishiwa Pumzi na Muda si Mrefu Atasalimu Amri.
Uchumi unazidi Kuporomoka yeye kazi yake ni Kutengeneza Magu-ccm akijaza...
Bring it On... hakika LISSU ni wetu tutamchangia Hata Tsh 200/= kila Siku..
Twendeni na LISSU 2020 kwa Ushindi wa UHAKIKA.
#TUNDULISSUforPRESIDENCY2020
TUNDU LISSU NI MPANGO WA MUNGU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vibaka wa Kura Na Wabobezi wa Kuvuruga Uchaguzi kama Kikwete hawatakiwi Kupewa Nafasi ya Kusimamia Uchaguzi Mahali Popote Pale.
Kwa Hali ya Kisiasa NIGERIA MUHAMMAD BUHARI ameishiwa Pumzi mpaka Kufikia Hatua Ya Kutoa Vitisho kwa Wapinzani na Kuweka Ndugu zake kwenye Tume ya Uchaguzi lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.