Sasa mbona mpaka leo huna akili mkubwa hivi?Hahahaa..... Nilijiunga na CCM mwaka 1980.......so usihofu kuhusu buku 7!
Umetumia tafiti gani ili kujua upinzan uko hoi, hebu wapeni rukusa wafanye mikutano na wananchi, pia pawepo na fair election, na polisi wawe fair bila kupendelea chama chochote, ndo useme ka wako hoiKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Acha ushamba wako toka kolomije upinzani upi umeishiwa Pumzi? Wapinzani mnawapiga Risasi mnawabambikia kesi mmeazuia mikutano ya siasa mnawanyanyasa sana alafu unakuja na upumbavu wako hapa, ukitaka kujua nguvu ya upinzani mwambie Dikteta uchwara aruhusu mikutano ya saisa uone moto wake kama utathubutu kusema ije kura ya maoni maana lazima CCM itapigwa chiniKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa....... Akili anazo mbunge wako Mdee!Sasa mbona mpaka leo huna akili mkubwa hivi?
Povu tupu!Acha ushamba wako toka kolomije upinzani upi umeishiwa Pumzi? Wapinzani mnawapiga Risasi mnawabambikia kesi mmeazuia mikutano ya siasa mnawanyanyasa sana alafu unakuja na upumbavu wako hapa, ukitaka kujua nguvu ya upinzani mwambie Dikteta uchwara aruhusu mikutano ya saisa uone moto wake kama utathubutu kusema ije kura ya maoni maana lazima CCM itapigwa chini
Pelekeni badiliko la katiba bungeni haraka sanaKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Haya mawazo ya kuua nchi huwa mnayatoa wapi? Nani anataka kurudi kwenye ujima wa chama kimoja? Au mnajua mkipiga kura mtaiba ili mbaki na chama kimoja? We need checks and balance, we don’t wanna go back to a single party system and ruin our economyKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Upinzani lazima upoteze uelekeo, CCM wajuchuja wagombea yale makapi yanaenda yana honga upinzani alafu yanapewa nafasi ya kushindana na CCM. Baadae unasena kura zimeibiwa, kwa hakika aliyewapa jina la Nyumbu hajakosea.Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa..... Nilijiunga na CCM mwaka 1980.......so usihofu kuhusu buku 7!
kama ulifauru kidato cha nne basi nikapimwe marinda mimi..duh akili ndogo saanaKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Upinzani wa Maigizo
CCM imepoteza Mwelekeo toka 1992 mfumo wa Vyama vingi ulipoanzishwa mikutano , maandamo yaliruhusiwa na maendeleo yalipatikana kutokana na kuishiwa pumzi kwa ccm imezuia maandamano na mikutano lakini ccm wanafanya.Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Awamu wa mavuvuzela tupu hakuna mwenye nafuuu,yani wote vichaa huko fisiemKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Kumbe libabu sasa mbona unakuwa na akili kama za kinyesiHahahaa..... Nilijiunga na CCM mwaka 1980.......so usihofu kuhusu buku 7!
Akieishiwa pumzi ni mamayako na anaekupumulia.Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
hakuna lakini mulifanya mapinduzi 2015Kwani Zanzibar kuna wapinzani?!!