Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
- Thread starter
- #61
Wanapigiwa kura na kushinda uchaguzi huru na hakiKwanini mnafanya siasa chafu ya kununua wabunge wa upinzani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapigiwa kura na kushinda uchaguzi huru na hakiKwanini mnafanya siasa chafu ya kununua wabunge wa upinzani??
Kuna uhusiano Kati ya wanaCCM na misukule??Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
We punga nini? Sasa ccm inatusaidia nini?Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama cha mauwajiNaomba kujuzwa kifupi cha CCM
Naomba kujua CCM huwa wanawapa kitu hani watu wanaohamia huko hadi kugeuka misimamo waliyokuwa nayo kabla ya kujiunga nayo mf. Kabudi, poe pole, na huyu katibu wao wa sasa?Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ni kweli kuwa CCM ndio chama chenye mafisadi wengi na wala rushwa?Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app