SGR wajenzi wa Ureno wamepotelea wapi?

SGR wajenzi wa Ureno wamepotelea wapi?

Wareno waliuacha mradi muda mrefu sana. Ila ipo chini ya mkeka. Kwa sasa wanaopiga mzigo ni waturuki peke yao. Inasemekana wareno hawakulipwa stahiki zao kama walivyokubaliana - wakafungasha kila kitu na kuondoka nchini.

Yapi Merkezi wanaweza kuwa wamepata guarantee kutoka kwa serikali yao (Uturuki) kwamba wasipolipwa na serikali yetu basi serikali yao itawalipa na kutudai sisi. Sidhani kama wareno walipata uhakika huo.
Umeongea kienyeji kama ulieingizwa JF kwa rushwa, hivi unajua hata namna mkandarasi anavyofanya kazi na namna serikali inavyomlipa au unafikiri serikali inapatana na mkandarasi kama wewe unavyopatana na fundi wa nyumba yako?
 
Binafsi mfatiliaji mzuri sana wa huu mradi wa SGR lakini nilisikia tu kuwa Yapi Merkezi na Motor Engine ya Ureno ndiyo wanajenga lakini sijawahi kuwaona Motor Engine tangia mradi uanze wala kuona gari lao au kifaa chochote kile naona Yapi Markezi ya Uturuki tu na nafikiri wao ndiyo wamechukua sehemu kubwa ya ujenzi na hata phase 2 ni Yapi Merkezi pekee watajenga labda tu Motor engine wao wanadili na issue nyingine.
Kwenye project za engineering kuna mtu anaitwa consultant engineer,yeye ni mtu wa kutengeneza mifumo na kutoa ushauri kwa engineer anayetekeleza project,hivyo wareno wanaweza wakawa wapo kwenye hilo kundi la consultant engineer.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena ulaya usafiri wa train ndio cheapest and effective, wewe niambie ni usafiri upi ambao unaweza kusafiri wewe pamoja na gari yako kama Panton kwa masafa marefu hata International? Ulaya natoka nchi A kwenda B na gari yangu nyumbani, napakia train na gari yangu inaingia ndani ya train mpaka ninapofika na ninarudi nayo kwa bei ya kawaida tu.
 
Sio kweli. Kuna sehemu train inagharama hata mara 10 ya Bus. Mfano train kutoka London hadi Manchester inaweza kufika £100 wakati Bus inakuwa £10-15 hivi
Tena ulaya usafiri wa train ndio cheapest and effective, wewe niambie ni usafiri upi ambao unaweza kusafiri wewe pamoja na gari yako kama Panton kwa masafa marefu hata International? Ulaya natoka nchi A kwenda B na gari yangu nyumbani, napakia train na gari yangu inaingia ndani ya train mpaka ninapofika na ninarudi nayo kwa bei ya kawaida tu.
 
Hakuna pesa Mkuu kwa hiyo hawajalipwa na mabeberu huwa hawachezi mbali na mkwanja wao.

Jamani tulizoea kuona wa Portugese kambi yao Ngerengere wakijenga reli sasa hivi hata mmoja haonekani mbona hatuambiwi wamepotelea wapi?

Mwenye taarifa anaweza kutuelewesha?
 
Wareno waliuacha mradi muda mrefu sana. Ila ipo chini ya mkeka. Kwa sasa wanaopiga mzigo ni waturuki peke yao. Inasemekana wareno hawakulipwa stahiki zao kama walivyokubaliana - wakafungasha kila kitu na kuondoka nchini.

Yapi Merkezi wanaweza kuwa wamepata guarantee kutoka kwa serikali yao (Uturuki) kwamba wasipolipwa na serikali yetu basi serikali yao itawalipa na kutudai sisi. Sidhani kama wareno walipata uhakika huo.
Acha uonga wewe, Wareno walishindwa wenyewe kufwata masharti baina yao na Waturuki hivyo ikapelekea mturuki kumtimua Mreno. Kumbuka Mreno aliletwa na Mturuki jombaaaa na sio Selikari.
 
Tena ulaya usafiri wa train ndio cheapest and effective, wewe niambie ni usafiri upi ambao unaweza kusafiri wewe pamoja na gari yako kama Panton kwa masafa marefu hata International? Ulaya natoka nchi A kwenda B na gari yangu nyumbani, napakia train na gari yangu inaingia ndani ya train mpaka ninapofika na ninarudi nayo kwa bei ya kawaida tu.
Boss, train Ulaya is not cheap. It is effective but not cheap.
 
Tena ulaya usafiri wa train ndio cheapest and effective, wewe niambie ni usafiri upi ambao unaweza kusafiri wewe pamoja na gari yako kama Panton kwa masafa marefu hata International? Ulaya natoka nchi A kwenda B na gari yangu nyumbani, napakia train na gari yangu inaingia ndani ya train mpaka ninapofika na ninarudi nayo kwa bei ya kawaida tu.
Screenshot_20190223-220123.png
Screenshot_20190223-215926.png
 
Kwa hiyo nao wamesepa kama wale wataliano walioondoka kwa jirani zetu na ku declare bankruptcy

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kilichofanyika baada ya Yapi kupata mradi waligawana vipande vya kufanya kazi na Motor wale wareno. Motor kwa upande wake akatafuta subcontractor tena na kuwauzia kazi lakini mitambo na mafuta wanachukua kwa Yapi.. Ikaonekana utekelezaji wa kipande cha Motor unayumba na hivyo kupelekea Yapi kuvunja mkataba na Motor mwezi wa kwanza 2019. Sasa hivi mradi unatekelezwa na Yapi
20190223_125824.jpg
 
Back
Top Bottom