Mkuu wazee hao sio wahuni, ni waheshimiwa ambao wamefanya mengi mema kwa ajili ya Tanzania.Unauliza hirizi Tanga.
Mkuu wazee hao sio wahuni, ni waheshimiwa ambao wamefanya mengi mema kwa ajili ya Tanzania.
Tatizo letu wananchi huwa kila anayetuzunguka ni mbaya kasoro sisi wenyewe tunapoombwa tutoe maoni juu ya maisha yetu binafsi.
viwango stahiki si vingeonekana pale Zitto kabwe alipotaka kuwa mwenyekiti wa chadema,mbona aliishia kufurumushwa.
kaka agalia usiniharibie mood ya ushindi wa simba.
mbona unatusaliti watanzania unashabikia wazungu.
Inatakiwa msafi Lissu na Mbowe waendeUnadhani unaweza kuficha uchafu uliotendwa 2015 kwa hoja dhaifu kama hii ?
Mkuu wazee hao sio wahuni, ni waheshimiwa ambao wamefanya mengi mema kwa ajili ya Tanzania.
Tatizo letu wananchi huwa kila anayetuzunguka ni mbaya kasoro sisi wenyewe tunapoombwa tutoe maoni juu ya maisha yetu binafsi.
sio uchaguzi wa maana ndio maana akapelekwa kikwete ni uchaguzi wa kiafrika tuView attachment 1020486
Huyu ndiye kinara wa kuharibu matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 , hakuna aliyesahau , alipandikiza watu wake kwenye Tume ya Uchaguzi ili kuwabeba wagombea wa chama chake, aliamuru kukamatwa na kuporwa kwa vifaa vya waangalizi huru wa uchaguzi ili kuficha matokeo halisi ili chama chake kibebwe na tume kwa njia za gizani , huyu ndiye aliyekataa Maalim Seif asiapishwe kuwa Rais Halali wa Zanzibar baada ya kushinda uchaguzi uliokuwa huru na haki tena mbele ya waangalizi wa kimataifa , akiwemo Rais Mstaafu wa Nigeria Goodluck Jonathan , dunia nzima ilifahamu kuhusiana na uporaji wa matokeo ya Zanzibar ambapo ccm ilianguka vibaya sana kuanzia , wabunge , wawakilishi hadi Urais wa Tanzania na Zanzibar kwa Unguja na Pemba
Mtu kama huyu awezaje kuteuliwa kuwa kiongozi wa waangalizi wa uchaguzi wa Jumuiya ya Madola ? wamepanga asaidie tena wizi wa kura Nigeria ? Mtu aliyeshindwa kutenda haki nyumbani kwake atafanya maajabu gani ugenini ? Aliyemteua alitumia vigezo gani , mbona iko wazi kwamba hana vigezo ?
Naomba kuwasilisha
Mkuu mhanila, wizi upo dunia nzima kuanzia Canada mpaka Chile, kuanzia Norway mpaka Australia, pote huko ufisadi umejaa.Kama wamefanya mema mbona Magu kila siku anasema nchi hii tumeibiwa sana inamaana huwa anasema uwongo maana huwa anaongea kwa msisitizo sana kuwa tumepigwa sana na mikataba mibovu sasa ni nani hasa aliyehusika kama siyo hao marais waliotamgulia kwake.
Unapinga wewe ni nani ,HOJA ZAKO (DHAIFUMNOO) MUFLISI, Dunia nzima inamtambua kwa uongozi wake uliotukuka, wacha roho mbaya, MWISHO WA UBAYA AIBU.View attachment 1020486
Huyu ndiye kinara wa kuharibu matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 , hakuna aliyesahau , alipandikiza watu wake kwenye Tume ya Uchaguzi ili kuwabeba wagombea wa chama chake, aliamuru kukamatwa na kuporwa kwa vifaa vya waangalizi huru wa uchaguzi ili kuficha matokeo halisi ili chama chake kibebwe na tume kwa njia za gizani , huyu ndiye aliyekataa Maalim Seif asiapishwe kuwa Rais Halali wa Zanzibar baada ya kushinda uchaguzi uliokuwa huru na haki tena mbele ya waangalizi wa kimataifa , akiwemo Rais Mstaafu wa Nigeria Goodluck Jonathan , dunia nzima ilifahamu kuhusiana na uporaji wa matokeo ya Zanzibar ambapo ccm ilianguka vibaya sana kuanzia , wabunge , wawakilishi hadi Urais wa Tanzania na Zanzibar kwa Unguja na Pemba
Mtu kama huyu awezaje kuteuliwa kuwa kiongozi wa waangalizi wa uchaguzi wa Jumuiya ya Madola ? wamepanga asaidie tena wizi wa kura Nigeria ? Mtu aliyeshindwa kutenda haki nyumbani kwake atafanya maajabu gani ugenini ? Aliyemteua alitumia vigezo gani , mbona iko wazi kwamba hana vigezo ?
Naomba kuwasilisha
kama ukimpenda mtu kwa ajili ya sura yake basi nenda kanywe naye Chai - JK NYEREREhakyamungu haka kazee kana nyota kali hatari,, pigeni majungu weee na mkawange kwenye mizimu yenu ila JK anajua kucheka na watu wacha akule vya watu.
na ukimchukia mtu sababu ya mafanikio yake umefuzu hatua ya kwanza kuelekea kua mchawi ngulikama ukimpenda mtu kwa ajili ya sura yake basi nenda kanywe naye Chai - JK NYERERE
Kumbuka kwamba hatuna shaka na umaarufu wa Kikwete nchi za nje , alishatembea mno , nusu ya urais wake aliutumia nje ya nchi , lakini hakufaa kuwa mwangalizi wa uchaguzi , hana hiyo sifa maana kishaharibu nyumbani kwakena ukimchukia mtu sababu ya mafanikio yake umefuzu hatua ya kwanza kuelekea kua mchawi nguli
vipi zile kesi 6,mlizoapa kumfungulia Wallace kariaMuda utaongea
Kiutaratibu ni lazima kuwajulisha FIFA jambo ambalo tayari limefanyika , tunasubiri majibu yao kabla ya kuchukua hatua zingine , isipokuwa kuanzia siku ile Chadema haitashiriki shughuli yoyote inayoandaliwa na TFFvipi zile kesi 6,mlizoapa kumfungulia Wallace karia