Kuna elimu unatakiwa uwe nayo unapotaka kununua trekta vitu kama unataka kulima binafsi au kibiashara.aina ya udongo unaloenda Lima ,ukijua haya utajua uchukue yrekta sina gani,lenye uwezo wa kulima hekta ngapi kwa siku,aina ya jembe,na vitendea kazi vingine,tela,kama ni udongo wa kunasa basi...