Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Kwa Dar mbegu ambazo zinakomaa kwa muda mfupi zinafaa zaidi na ambazo ni za ukanda wa chini. Mbegu ambazo zinakomaa kati ya siku 90 na 120 kama zilivyoanishwa hapo juu. Mbegu nyingine ambazo waweza otesha zikafanya vizuri ni DK8031,Pannar 4m -19, na hizi Seedco 403 au 513.
Kama unataka kwa ajili ya mahindi ya kuchoma kibiashara zaidi, panar 4m19 ni nzuri sana, mahindi yake matamu, angalizo ni kuwa yanaweza yakakomaa usifahamu ukasituka yamekwishaanza kukauka, kwani majani yake utakuta mabichi kumbe ndani yameanza kukauka.
 
Hebu tupe mrejesho maana haya mawazo yalikuwa ya mwaka 2010 sasa ni 2017 je kuna mafanikio ili na sisi tujiunge na wewe
 
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh
Nice paper work, I wish all the best to be on that level
 
Hebu tupe mrejesho maana haya mawazo yalikuwa ya mwaka 2010 sasa ni 2017 je kuna mafanikio ili na sisi tujiunge na wewe
Mkuu na mm nalima na ni mwanafunzi chuo cha st.joseph nipo hapa nalima morogoro hekari mbili za mahindi na yamekua saivi kama vip karibuni mjinyakulie mashamba kwa hekari moja laki tano na jumla nimetumia laki tisa tu mpaka yalipofikia na pia kuna alizeti kwa hekari moja na jumla nimetumia 1.8 kwa hekari mbili pamoja na mahindi.

20170425_101739.jpg
20170425_130400.jpg
 
Mkuu na mm nalima na ni mwanafunzi chuo cha st.joseph nipo hapa nalima morogoro hekari mbili za mahindi na yamekua saivi kama vip karibuni mjinyakulie mashamba kwa hekari moja laki tano na jumla nimetumia laki tisa tu mpaka yalipofikia na pia kuna alizeti kwa hekari moja na jumla nimetumia 1.8 kwa hekari mbili pamoja na mahindi.

View attachment 504081View attachment 504082
Hongera sana mkuu...Mungu aendelee kuwa nawe
 
Mkuu na mm nalima na ni mwanafunzi chuo cha st.joseph nipo hapa nalima morogoro hekari mbili za mahindi na yamekua saivi kama vip karibuni mjinyakulie mashamba kwa hekari moja laki tano na jumla nimetumia laki tisa tu mpaka yalipofikia na pia kuna alizeti kwa hekari moja na jumla nimetumia 1.8 kwa hekari mbili pamoja na mahindi.

View attachment 504081View attachment 504082
Moro ipi yenye mashamba karibu na mto ili niweze kutumia pump za kumwagilia mkuu!
 
Moro ipi yenye mashamba karibu na mto ili niweze kutumis pump za kumwagilia mkuu!
Mkuu hapa sisi tunategemea mvua za mwenyezi mungu tu hamna kumwagilia hapa na sijawahi ona mtu anamwagilia shamba tangu nianze kulima hapa morogoro na ardhi yenyewe ina rutuba hamna haja na mbolea na kama kuna mtu yupo dar au moro na mikoa mingine na yupo interested kulima tunaweza kuchekiana kwa hizi namba hapa
0716-473786/0755-922096.
 
Ni hapa mikese mkuu hii sehemu yenye mizani ya kupimia uzito wa magari afu unaingia ndani kabisa penye mashamba kabla hujafika morogoro mjini karibu tupo.
 
Mkuu hapa sisi tunategemea mvua za mwenyezi mungu tu hamna kumwagilia hapa na sijawahi ona mtu anamwagilia shamba tangu nianze kulima hapa morogoro na ardhi yenyewe ina rutuba hamna haja na mbolea na kama kuna mtu yupo dar au moro na mikoa mingine na yupo interested kulima tunaweza kuchekiana kwa hizi namba hapa
0716-473786/0755-922096.
Asante kwa tsarifa, tatizo la kusubiria msimu huwezi kufanya kilimo cha kibiashara, vipi ukichimba maji yanapatika kina kifupi?
 
Asante kwa tsarifa, tatizo la kusubiria msimu huwezi kufanya kilimo cha kibiashara, vipi ukichimba maji yanapatika kina kifupi?
Maji yapo ni wewe tu ukitaka uchimbe umwagilie is up to you ila kwa hizi mvua sidhan kama utadiliki kumwagilia shamba.
 
Habari wakuu, poleni na kazi!

Wakuu nataka kulima mahindi kwa njia ya umwagiliaji, yani nipande mwezi wa sita nikitarijia kuvuna mwezi wa 10.

Naombeni kuuliza kwa wazoefu, ambao wamewahi kulima kilimo hiki wakati huu wa kiangazi, je naweza kulima na nikapata faida ukizingatia na gharama za umwagiliaji?
Je mahindi hayatakuwa na matatizo yoyote ukizingatia sio msimu wake?

Asanteni natarajia kupata mawazo zaidi kutoka kwenu.
 
Habari wakuu, poleni na kazi!

Wakuu nataka kulima mahindi kwa njia ya umwagiliaji, yani nipande mwezi wa sita nikitarijia kuvuna mwezi wa 10.

Naombeni kuuliza kwa wazoefu, ambao wamewahi kulima kilimo hiki wakati huu wa kiangazi, je naweza kulima na nikapata faida ukizingatia na gharama za umwagiliaji?
Je mahindi hayatakuwa na matatizo yoyote ukizingatia sio msimu wake?

Asanteni natarajia kupata mawazo zaidi kutoka kwenu.
Safi sana hii kitu, ngoja nami nifuatilie
 
Back
Top Bottom