Recent content by wise123

  1. W

    Kuna kitu kimoja nakiona BBC kuhusu Zimbabwe kinashangaza sana

    Idiots mnayaona ya Zimbabwe ila ya kwenu TBC inarusha hadi harusi za watoto wa vigogo live ila bungelive hawana hela
  2. W

    Babu Tale asema anajiandaa kisaikolojia kufungwa jela maana hana millioni 250 za kumlipa Sheikh Hashim Mbonde

    Mdaiwa hafungwi atamlipa buku buku mpka siku atamaliza deni
  3. W

    Natafuta majoho ya watoto ya graduation kwaajili ya kukodi

    Yamepigwa marufuku over katafute kanzu na madera uwavalishe
  4. W

    Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

    Na cc wakwetu watakuwa wamepenyezwa chadema na cuf lol what a perfect country
  5. W

    Rais Magufuli apiga marufuku kufanya biashara kwa kutumia fedha za kigeni

    Tatizo mag na wenzake wanajifanya wanajua kila kitu hata akipewa wazo zuri na upinzani anaignore Mara ngapi wameshauriwa kuusu matumiz ya dollar kwenye biashara za ndan ya nchi?
  6. W

    Gugai na wenzake watatu wapandishwa mahakamani Kisutu, wasomewa mashtaka 43

    Yeye c wakwanza na chakushangaza maboss wa hawa watu ni wasafi
  7. W

    Niko njia panda, mpenzi aliyenifanyia visa amerudi na mimi nimepata mwingine nampenda

    Kwaiyo unataka kumrudisha shetani kwenye ufalme wako mpya? Dhambi mlizofanya za kuua/mimba bado mnataka kuziendeleza embu acha ujinga umtupilie mbali na mawasiliano nae futa
  8. W

    Mugabe Agomea Mazungumzo Ya Kuachia Madaraka

    Wanambembeleza nini uyu babu wamtafutie sehem tulivyo apumzike
  9. W

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Ivi hawaoni hata aibu walivyokanusha habari ya lissu na kutaka kumuua na sasa wameumbuka
  10. W

    Tabia za kumdanganya mh Rais zitakoma lini!?

    Washamjua anapenda kiki na kiki zinapatikana kwa kudanganya acha adanganywe aendelee kuropok
  11. W

    Video: Hawa majambazi wanaujasiri wa hali ya juu

    wangenifurahisha zaidi wangebeba huo mfuko uzembe wa hali ya juu
Back
Top Bottom