Tatizo mag na wenzake wanajifanya wanajua kila kitu hata akipewa wazo zuri na upinzani anaignore Mara ngapi wameshauriwa kuusu matumiz ya dollar kwenye biashara za ndan ya nchi?
Kwaiyo unataka kumrudisha shetani kwenye ufalme wako mpya? Dhambi mlizofanya za kuua/mimba bado mnataka kuziendeleza embu acha ujinga umtupilie mbali na mawasiliano nae futa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.