Asante mkuu Richard, nilitaka ila sikua na uwezo nilitamani pia ni attach ujumbe wa pope leo ili kuinyesha icc kwamba this is a serious matter of concern
"The core of rebellion are the Universities... The Universities have been to this nation what wooden horses were for Trojans"
(Thomas Hobbes on the English Civil War)
navajo naomba kukuuliza maswali machache kabla sijaja na data za consumption za mikoa na wilaya. unafaham kazi maalum za substations?
unafaham nyaya za 33kv na 11 kv zinatumika vipi na consumer TX inauwezo wakuudumia biashara na viwanda vidogo na makazi kiasi gani?
unafaham kuwa JHNPP itatumika...
haha mkuu Kilatha hivi makamba ana authority yakuuza govt bonds to begin with? hii sio kazi ya BOT kweli? why should anyone listen to makamba at the first place?
hii ilikua ina-generate quantum mechanics.. a better way to understand the behaviour of electrons in physical electronics. a solid version of classical mechanics
😂tumeongea na ubalozi katika kikao cha hivi karibuni na kuafiki ulinzi dhabiti pamoja na gari laserekali kwa kaka Shebby01 kwa kipindi chote atakachokuepo Nairobi
🤣 wakunya bhana, mpaka huruma. hawana forum yao kutwa jamii forum lasivyo twitter(#KOT) na kizungu kiingi dunia inawachora tuu walivyo wazamiaji kila mahala mpka kwenye forum za nchi za watu. If you are a Kenyan think twice😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.