Recent content by williamskowero

  1. williamskowero

    Atembezwa uchi mtaani baada ya kufumaniwa na mke wa mtu chumbani huko tegeta,dar

    Jamaa alisahau kuweka tanga fresh geto ndo mana wamemkamata
  2. williamskowero

    Hakuna anayeweza kuizima nyota ya Zitto, ila Mungu pekee

    Unaenda nae huko kwa waganga? Mana u seem sure kuhusu hlo
  3. williamskowero

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Teh teh ni kawaida yetu kuwatanguliza kwanza mkatushkie nafas yetu juu pale alaf tunakuja kama kawa
  4. williamskowero

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hahah tulieni muone balaa la moyes ss
  5. williamskowero

    Paul Kagame: Tanzania's own spy

    Mnapata wapi Hizi habari?? Mnatutisha sasa eeh
  6. williamskowero

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Finally fellaini ndani ya old traford majanga ya pale kati yatapungua #GGMU
  7. williamskowero

    Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

    Mkuu wenye magar ya kusafirisha wao wataendelea kupga faida kama kawa wakipandsha kodi ya kuvuka pale na wao wanawabana wenye mzigo,wenye mzigo wanawabana watumiaji wanaoenda kuwauzia ss we unadhani Nan anaumizwa hapo kama sio wanyarwanda?
  8. williamskowero

    Transfer Window updates 2013/2014 season - Europe

    Wenger kajitahd sana nice move on ozil pale kati watazidi kuwa hatar
  9. williamskowero

    nimechoka

    Dramatically teh teh
  10. williamskowero

    Nampenda Sanaa Ila Simuoi Sio Wife Material!!!!!! Mhhhhhh! Hayaaaaaaa!

    Wanawake wote ni wamaana inategemea na ww utamweka vp ukiwa nae.
  11. williamskowero

    Diamond amnunulia gari mzee gurumo!!

    Mwanzo ooh diamond free Cjui nn,juz ooh jamaa anadili na sembe...bongo bana ukitusua kdgo tuuu utajutaa..
  12. williamskowero

    Ujambazi Kariakoo

    Mmh! Usilete usela nnyaa huku kuna watu wazima nyoosha lugha kijana
  13. williamskowero

    Men's Talk...!!!!!

    Mnasema hvo bt f we stp chekn on yah mnalalama nakuhc vbaya tht kuna Cha pembeni kmeshkilia..Kweli nyie ni complicated species ever exist.
  14. williamskowero

    Men's Talk...!!!!!

    So nyie majukumu ya family hayawahusu??mana ulivoorodhesha hapo juu hata kmoja hamna kuhusu family..Haki mnataka kwenye kugawana mali tu kwingne mnajitoa
Back
Top Bottom