Paul Kagame: Tanzania's own spy

Paul Kagame: Tanzania's own spy

The war in Eastern Congo is about many complex reasons on top which are the following;
1. Security - Rwanda feels unsafe with FDLR and other extremist Hutu murderous groups lurking in its backyard
2. Economy - Rwanda and Uganda have vested interests in eastern DRC and so does Pres Kabila and his cronies from Kinshasa

So do fall for this ba-Hima empire myth that swirls around like a wayward kite. Hakuna makitu hiyo.
 
For the past few months or so, Kagame has been on front pages of Tanzanian minds and thoughts. If the time you use everyday discussing Kagame was spent productively I believe that your GDP would have increased a percentage point. Just thinking out loud.
 
Yaaaah...!!
Lazima watu waingie mpaka Ikulu yake ya Kigali bila hata ya kuonekana kwenye CCTV alafu tunamuamsha usingizini akiwa na mkewe na kumpa onyo kali na kuondoka zetu

Akiamka asubuhi ndio atakuwa na akili akijua hatukumpatia mbinu zoote zingine tulizibakiza


mkuu unavyosema kirahisi utasema ni zile movie za kijasusi vile. kumbuka hii ni hali halisi unayoizungumzia.
 
Siyo yeye tu. Paul Kagame alikuwa na mdogo wake ambaye hadi alijipa jina la Kiswahili, akawa Sallim.

Walikula mafunzo ya kijeshi na Practical walikuwa wakienda Msumbiji ambako kulikuwa na vita ya kikweli.

Walipolianzisha huko kwao, kila mtu alijua watashinda tu.

Kujiamini kumemzidi jamaa na nafikiri kashaanza kupoteza dira yake nzuri. Ukikaa sana madarakani ndiyo madhara.
Humu ndani kuna watu, mi nilkuwa sijui kitu mkuu asante kwa taarifa hii nzuri
 
Hivi Yoweri Museveni na Paul Kagamae ni "marafiki"?

zaidi ya marafiki, alifanya kazi chini ya Museven kabla ya kuingia Kigali na Museven alimsaidia sana kuingia kwake madarakani na ndio maana watu husema Museven pia ni MTUSI na Wanyarwanda wengi wanalalmika kwao kuw aoportunity nyingi zimeshikwa na Waganda wa asili ya kabila la museven huko rwanda.
 
being your today`s friend does not mean ,or it should be a condition that I can`t turn out to be your tomorrow`s worst enemy,and also vice versa is also applicable here...let deal with facts,history may sometimes mislead us!
Tanzania trained him to be a world class spy, why is he turning against his mentor!? if there are misunderstandings, why cant diplomacy take the first course?? It was 1978 in a secret espionage farm(somewhere in morogoro), paul kagame was recruited, trained and eventually served as our informer and a spy in different top secret missions. why is this killing machine malfunctioning now!? Baada ya kumaliza mafunzo, hata Marekani ilimtambua kwa uwezo wake wa infiltration na counter espionage skills, kiasi kwamba ilimpa nafasi asome command and general staff college huko Kansas. PK Akiwa na Yoweri Museveni, Obote, Okello, Oyite Ojock, Yusuf Lule, Fred Rwigyema na majasusi waliokubuhu wa Tanzania, walikutana kwa siri Kilimanjaro, mwaka 1979,in a secret meeting called THE MOSHI CONFERENCE na kuunda "KIKOSI MAALUM" kilichotangulia na baadhi ya majasusi ndani ya Uganda kuendeleza insurgency covert operations wakati majeshi ya TPDF yakisonga mbele. Hii timu ilikua pia na David Sejusa Tinyefunza, jasusi kuu la Uganda(SPY CHIEF) aliyepishana kauli na M7 na kuamua kukimbilia UK.Tanzania made them what and who they are now, powerful and intimidating.Timu hiyo ilifunzwa unprecedented guerrilla tactics kama tulizowafunza wenzetu wa kusini mwa Afrika na ndio maana PK akiwa bega kwa bega majasusi wenzetu na Fred Rwigyema ambaye aliuwawa kwenye battle waliweza kuingia hadi Kigali kwa kupitia Uganda Virunga Mountains baada ya kutumikia UPDF kama security chief wa M7.A "cold war" highly fueled by media should be stopped and let the old memories flourish.If we had same belief or ideology, why should we differ now..???
 
hii habari kuna ukweli sana na huyu aliyeandika ni intelligence office i think!! but al in all thats Y kagame anamdharau sana Kikwete ,kwa ajili ya espionage and spying skills alizokua nazo ndo zinamfanya awe arrogant?,halafu ni wasiwasi TZ ameshafanya infiltration but their plan has not given birth and due to that i always concur that PK is a threat to EAC because he is very spying strategist,hata historia ya kuwaua akina Byarumana ,kabila etc inampa kichwa na ndo maana hata J kikwete akasema ana mipango baina yake,JK sio -------- kuzungumza kauli ile kuna intelligence issue ambayo siku wa TZ tukiijua........ mtakuja kutukamatia Kigali na kichwa cha PK(ikumbukwe bifu na Rais ni bifu na taifa kwa sababu if anything bad happens sisi watanzania ndo itatugharimu)
 
Moshe Dayan uko sahihi.. huyu bwana tulimfundisha mambo mengi sana na hayo ndiyo yalimpa mbinu za kumsaidia M7 kuichukua uganda...leo unapomuona amegeuka na kututolea maneno ya ajabu hakuanza leo.....wakati anatoka huko kansas marekani kusoma wakti huo fred rwigyema alikuwa ndio mkuu wa kikosi na kagame msaidizi. ni huyu huyu kagame aliyepanga mauaji ya fred rwigyema baada ya kuona kwamba anakubalika sana na alijua wakiitwaa rwanda ndiye angekuwa rais wa rwanda...

kagame aliandaa mpango mahususi wa kumueliminate fred...na amlimtumia kijana mmoja anaitwa ntanyambire ambaye alikuwa sniper.. kijana huyo akatekeleleza mauaji ya fred...maiti ya fred rwegyima walikaa nayo kwa siri hawa kina kagame kwa mwezi mmoja na ndipo kagame akatoa taarifa kwa M7 kuwa fred rwigyima ameuawa na kikundi cha watu watatu aliowataa kuwa ni Major Peter Bayingana, Major Chris Bunyenyezi na Major Frank Munyaneza .

mseveni alichukia sana baada ya kupata taarifa hizo na hao waliohusika na mauaji ya fred..kumbuka fredi alikuwa rafiki mkubwa sana wa M7 na alimpenda sana...hivyo M7 akamtuma mdogo wake aliyeitwa ally saleh kwenda kuhakikisha hawa watutu waliomuua fredi rwegyima nao wanauawa...majaor ally saleh alitekeleza mauaji hayo kwa mpigo...

baada ya seke seke hilo hapo ndipo kagame sasa akapata mwanya wa kuwa mkuu wa kikosi hadi wakaitwaa rwanda na yeye kuwa rais..

kwa hiyo basi kagame hakuanza leo kudanganya na kusingizia...alimuingiza mkenge mseven kwa kumwaminisha kwamba fred ameuawa na hao jamaa niliowataja hapo juu...lakini ni yeye alikuwa nyuma ya mpango mzima..

ndio tulimfundisha mbinu nying..tradecraft na spycratf kibao..lakini leo anapotuletea dharau hatuwezi kumwacha hivi hivi...

Jee tunao bado huo uwezo wa kumwadabisha nina wasiwasi uwezo tuliokua nao kipindi tunamfundisha hatunao tena
 
Moshe Dayan uko sahihi.. huyu bwana tulimfundisha mambo mengi sana na hayo ndiyo yalimpa mbinu za kumsaidia M7 kuichukua uganda...leo unapomuona amegeuka na kututolea maneno ya ajabu hakuanza leo.....wakati anatoka huko kansas marekani kusoma wakti huo fred rwigyema alikuwa ndio mkuu wa kikosi na kagame msaidizi. ni huyu huyu kagame aliyepanga mauaji ya fred rwigyema baada ya kuona kwamba anakubalika sana na alijua wakiitwaa rwanda ndiye angekuwa rais wa rwanda...

kagame aliandaa mpango mahususi wa kumueliminate fred...na amlimtumia kijana mmoja anaitwa ntanyambire ambaye alikuwa sniper.. kijana huyo akatekeleleza mauaji ya fred...maiti ya fred rwegyima walikaa nayo kwa siri hawa kina kagame kwa mwezi mmoja na ndipo kagame akatoa taarifa kwa M7 kuwa fred rwigyima ameuawa na kikundi cha watu watatu aliowataa kuwa ni Major Peter Bayingana, Major Chris Bunyenyezi na Major Frank Munyaneza .

mseveni alichukia sana baada ya kupata taarifa hizo na hao waliohusika na mauaji ya fred..kumbuka fredi alikuwa rafiki mkubwa sana wa M7 na alimpenda sana...hivyo M7 akamtuma mdogo wake aliyeitwa ally saleh kwenda kuhakikisha hawa watutu waliomuua fredi rwegyima nao wanauawa...majaor ally saleh alitekeleza mauaji hayo kwa mpigo...

baada ya seke seke hilo hapo ndipo kagame sasa akapata mwanya wa kuwa mkuu wa kikosi hadi wakaitwaa rwanda na yeye kuwa rais..

kwa hiyo basi kagame hakuanza leo kudanganya na kusingizia...alimuingiza mkenge mseven kwa kumwaminisha kwamba fred ameuawa na hao jamaa niliowataja hapo juu...lakini ni yeye alikuwa nyuma ya mpango mzima..

ndio tulimfundisha mbinu nying..tradecraft na spycratf kibao..lakini leo anapotuletea dharau hatuwezi kumwacha hivi hivi...
de'levis, long time no see.., turudi kwenye mada, ntakuja na topic jinsi rwegyima alivyouawa na jinsi siku alipoenda front ilikuaje rpg zote za unit yake zili-miss fire, ndipo utajua kagame tulimuivisha kwenye espionage
 
For the past few months or so, Kagame has been on front pages of Tanzanian minds and thoughts. If the time you use everyday discussing Kagame was spent productively I believe that your GDP would have increased a percentage point. Just thinking out loud.

wanyarwanda wanajulikana tu!! cheki jina na hata bendera!!hivi kwanini msirudi kwenu mkajenga taifa lenu?taifa lenu haliwezi kujengwa kwa kuiba mali na kuua raia wa nchi zingine
 
Mkuu hizi ni ''classified information'' not for public consumption

And this is what makes JF exceptional acheni tufaidi tutaijuaje nchi yetu sasa and BTW huu sio mkataba na wawekezaji mikataba si ndo huwa mnaita siri watu wasijie!
 
For the past few months or so, Kagame has been on front pages of Tanzanian minds and thoughts. If the time you use everyday discussing Kagame was spent productively I believe that your GDP would have increased a percentage point. Just thinking out loud.

Mpigie simu bosi wako achungulie huu uzi.
 
wanyarwanda wanajulikana tu!! cheki jina na hata bendera!!hivi kwanini msirudi kwenu mkajenga taifa lenu?taifa lenu haliwezi kujengwa kwa kuiba mali na kuua raia wa nchi zingine

U mean turudi tanzania tuliko zaliwa? No need. Huku poa tu.
 
For the past few months or so, Kagame has been on front pages of Tanzanian minds and thoughts. If the time you use everyday discussing Kagame was spent productively I believe that your GDP would have increased a percentage point. Just thinking out loud.

May be I should make it clear to you that Tanzanians, though quite, polite and peaceful, are war monglers. It shouldn't therefore, come to surprise that we spend a significant chunk of our precisious time to discuss about war with Kagame. We always wish someone could provoke us to fight. Sadly Kagame is only going half way towards our trap. We love to fight where there is reason for that. The presence of our soldiers in different parts of the world is point in case.
 
de'levis, long time no see.., turudi kwenye mada, ntakuja na topic jinsi rwegyima alivyouawa na jinsi siku alipoenda front ilikuaje rpg zote za unit yake zili-miss fire, ndipo utajua kagame tulimuivisha kwenye espionage

Mkuu tunashukuru sana umerudi jamvini na kuleta utamu swali langu ni je unafikiri huyu jamaa tunammudu bado au skills zake zimeshaenda mbali sana na hivyo ana uwezo wa kutusumbua? hasa ukizingatia miongo miwili iliyopita sasa system ipo halijojo?
 
Back
Top Bottom