donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
- Thread starter
- #61
''Uko wapi?'' - Kama sentnsi ya kwanza anaponipigia simu wakati ndio kwanza nakunywa bia yangu ya kwanza....!
Hahaha!
''Uko wapi?'' - Kama sentnsi ya kwanza anaponipigia simu wakati ndio kwanza nakunywa bia yangu ya kwanza....!
mimi mwanamke jamani, sorry nimeingilia mada yenu.
ila kaka upo sahihi, mie mwenyewe sipendi mwanaume ambaye yupo tayari kuchart na mimi all the time, kwanza nitamdharau na kumuona hana shughuli nyeti za kufanya.
au anakupigia simu muda wote kuongea pumba.....watu wa hivyo huwa hata round moja ya uhusiano hamalizi.........tupa kule....huna kazi za kufanya.......
nyie wanaume wenye tabia hizi huwa mnakera mjue........mnaboa sana......
(sorry kwa kuingilia mazungumzo yenu wakaka)..........
Mnasema hvo bt f we stp chekn on yah mnalalama nakuhc vbaya tht kuna Cha pembeni kmeshkilia..Kweli nyie ni complicated species ever exist.
Mwanamke ni kama empty box, unapokua nalo usitarajie kutoa kitu ndani yake, bali tegema ww ndio uweke kitu ndani yake. Otherwise ukiwa unategemea kitu flani positive kutoka kwake utaumia, bcoz its empty box.
Ndio maana Biblia imeandika muishi nao kwa akili
Umedhihirisha ukweli wa yanayosemwa hapa, akili zako zinawaza ubinafsi tu, as all womens do. Si mnasema haki sawa, sasa hyo haki sawa (50/50) ni kwenye viti maalum tu?.
Hapo sasa. . .
Sasa. . .tusipojaribu tutajuaje tunaweza au hatuwezi?
Kama wanawake wabaya hivi, si muoe wanamme? Khah, mtuwache tupumue na uji.nga wetu.
ukiwa na rafiki wa kike ambaye alishakuwa na mahusiano ujue huyo ni mpenzi wa mtu mwenyewe siku akitaka atakula tu!
Kuna kugongwa nyuma na kugongwa kwa nyuma.
Siogopi kugongwa.
'njoo nkugonge...'
Kuna Thread Moja nilishwahi kuipost ya Wake zetu na Mishahara yao.
Binafsi mie nimejiamulia kuwa Mambo ya Familia ni Juu yangu, Kula, Kuvaa na Kulala, ila kuna Principle nimejiwekea, kama kuna issue yeyote inayohusu kwao ni Juu yake... Full Stop
konnie na wewe unapenda sana kuzunguka mbuyu!haya ktk hayo uliyosema unapenda mojawapo au yote?