Recent content by westcost

  1. W

    Natafuta Tv, budget yangu 1.5m, au 2m kwa Tv kali sana

    Tafita LG NANO CELL Zinabei nzuri
  2. W

    Kwanini South Africa tamthilia zao lazima waweke mashoga?

    Hao ndio watawala wenyewe wa dunia Lucifer
  3. W

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta nyimbo za Justine Kalikawe
  4. W

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    [emoji16][emoji16]kama huwezi kusimamia hela hiyo mwenyewe kaiweke hata utt ila biashara ya kusimamiwa na mtu utalia
  5. W

    Nasikia kuna sabuni ya kuogea ya maji; naomba kujua inatumikaje?

    Unajimwagia maji mwili mzima kisha unachukua sabuni mkononi kiasi unajipaka kidogo tu lakini inakolea mwili mzima. Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. W

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Justine kalikawe - usitumie cheo chako. Na nyimbo zake nyingine
  7. W

    Kuhusu hisa za makampuni yaliyo kwenye Soko la Hisa Dar (DSE)

    Mi mwenyewe nilinunua 850 ila ningejua kuna kushuka ningenunua kipindi hiki, maana nina uhakika kwa connection wanazozifanya voda kwa sasa naona huko mbeleni mambo yakikaa sawa itakuwa poa
  8. W

    Unajua kwanini blogger wa nje wanapiga hela za adsense sana?

    Tatizo kibongo bongo ad hazina mpangilio ni kero unaona bora uitupilie mbali huko
  9. W

    Nikki wa pili aikashfu Biblia na hadithi ya uumbaji

    Mnaomsifia jamaa msiichukulie poa biblia kabla watu hawajaanza kufirana biblia ilisha yasema hayo na ambayo hatujui yatatokea yakija kutokea tunakuta kwenye biblia tayari yapo hivyo msimpe kichwa saaana.
  10. W

    Kuhusu hisa za makampuni yaliyo kwenye Soko la Hisa Dar (DSE)

    Duuu asante umeniamsha nilisha usahau kabisa huu upande Sent from my iPhone using JamiiForums
Back
Top Bottom