Unajimwagia maji mwili mzima kisha unachukua sabuni mkononi kiasi unajipaka kidogo tu lakini inakolea mwili mzima.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mi mwenyewe nilinunua 850 ila ningejua kuna kushuka ningenunua kipindi hiki, maana nina uhakika kwa connection wanazozifanya voda kwa sasa naona huko mbeleni mambo yakikaa sawa itakuwa poa
Mnaomsifia jamaa msiichukulie poa biblia kabla watu hawajaanza kufirana biblia ilisha yasema hayo na ambayo hatujui yatatokea yakija kutokea tunakuta kwenye biblia tayari yapo hivyo msimpe kichwa saaana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.