Recent content by WABALLA Inc

  1. WABALLA Inc

    Professional Auditing Services needed

    Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO) is soliciting proposals from qualified firms to audit the financial Statements for the financial year starting 1st January 2021 ended 31st December 2021, with the option of auditing the financial statements for the future financial years...
  2. WABALLA Inc

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Sina haraka nitaenda saa 15:58 ili nyuma yangu awepo askari.
  3. WABALLA Inc

    Wanaume Wabishi ndio tumebaki hewani

    Hahahaha Kuna fundi simu huku leo ana foleni wabongo wanampelekea simu zimeharibika mtandaoni hawaingii awatengenezee
  4. WABALLA Inc

    Fastjet taabani, washindwa kulipa mishahara wafanyakazi wao.

    Hali ni tete hata abiria walioahirishiwa safari mwezi Disemba hawajalipwa. Sijui tunaenda kulalamikia wapi?
  5. WABALLA Inc

    JE NI KOSA KUMPA JIRANI MAJI YA IDARA YA MAJI?

    Habari wana jamvi? Kwa wale wenye uelewa na kanuni za Idara za Maji, ninatumia maji ya bomba kutoka Mamlaka ya Maji ya Mji mmoja. Ninavyojua kisheira hairuhusiwi kuuza maji bila idhini ya mamlaka husika. Nina jirani yangu amabye aliomba kutumia/ kuwa anachota maji. Kama mnavyojua jirani yako...
  6. WABALLA Inc

    Ni kwanini wanandoa hufikia uamuzi wa kuvunja ndoa?

    Kuna tofauti kubwa kati ya kuendana na kukubaliana
  7. WABALLA Inc

    Ni kwanini wanandoa hufikia uamuzi wa kuvunja ndoa?

    Ukiona watu wameachana jua hawakuendana, walilazimisha tu labda kwa kutofatiliana zaidi kujuana mazuri na mabaya/ndani na nje. Ila wengi sasa hivi hatuna uvumilivu wa kuvumiliana mapungufu. ukichanganya na dunia hii ya digitali ndio basi "waja leo waondoka leo"
  8. WABALLA Inc

    Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

    Madomo zege ndio wanatongoza mitandaoni :D:D:D:D
  9. WABALLA Inc

    Open university of Tanzania

    Diploma kuna course za Kitivo cha Sayansi ya Jamii??
  10. WABALLA Inc

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Mkuu unajua miji mingapi?Mie nimeongelea "mijini" wewe unaongelea "mji" labda unaangalia mji mmoja ambao wewe una uzoefu nao. Mfano mie najua mwanamama ambaye anafanya hii kazi na anapiga hela za kutosha.
  11. WABALLA Inc

    Movie ya black panther haiakisi maisha ya Africa

    Mwenye link ya kudownload hii movie naomba
Back
Top Bottom