Bunda Farmers Development Support Organization (BUFADESO) is soliciting proposals from qualified firms to audit the financial Statements for the financial year starting 1st January 2021 ended 31st December 2021, with the option of auditing the financial statements for the future financial years...
Habari wana jamvi?
Kwa wale wenye uelewa na kanuni za Idara za Maji, ninatumia maji ya bomba kutoka Mamlaka ya Maji ya Mji mmoja. Ninavyojua kisheira hairuhusiwi kuuza maji bila idhini ya mamlaka husika. Nina jirani yangu amabye aliomba kutumia/ kuwa anachota maji. Kama mnavyojua jirani yako...
Ukiona watu wameachana jua hawakuendana, walilazimisha tu labda kwa kutofatiliana zaidi kujuana mazuri na mabaya/ndani na nje. Ila wengi sasa hivi hatuna uvumilivu wa kuvumiliana mapungufu. ukichanganya na dunia hii ya digitali ndio basi "waja leo waondoka leo"
Mkuu unajua miji mingapi?Mie nimeongelea "mijini" wewe unaongelea "mji" labda unaangalia mji mmoja ambao wewe una uzoefu nao. Mfano mie najua mwanamama ambaye anafanya hii kazi na anapiga hela za kutosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.