Habari wadau,
Nimuda sasa nimekua na wazo la kuanzisha biashara ya kuuza movies mbalimbali ambazo nitakua nimeserve kwenye server fulani.
Tatizo mimi ni muajiliwa na sintokua na muda wa kuifuatilia kwamba kwa siku zimezwa movies ngapi kwa kunyonywa kutoka kwenye computer
Naomba wadau kama kuna...
Tunabaki kuwa ma maswali mengi ambayo yote hatuna majibu,hivi haya mambo siku zote katika kipindi cha mzee wa Lushoto na yule wa Bagamoyo haya mambo yalikua hayaonekani au ndio hivyo tulukua tunafanya kazi kwa mazoea...Kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo
Wanandugu,nimekumbuka yale maneno mawili ya Mhehimiwa yaani KATA,
Vipi haya maneno yalifanikiwa kufanyiwa kazi upande wa Tanzania visiwani au yalipotea kama mengine yanavyopoteaga?
Nakumbuka pia yule mheshimiwa wa kule kama alitupa dongo fulani kwa uhakika kwamba haya maneno mawili...
Mimi pia sijaona ubaya kwa huyu profesa,alikua SUA kwa muda mrefu tu,akapata presidential appointment na kwa sasa amerudishwa tena SUA, Here its like returning to your home land!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.