Tuwaseme
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 645
- 1,191
Kwa nn Steve Nyerere hakwenda kwenye Maandamano ya Wasanii wa Bongo Movie? Kwenye page ya Mange nimemuona Steve mapovu yanamtoka anapinga utaratibu huo uliotumiwa na Makonda na Wasanii wenzake wa kuwazuia machinga kuuza movie za nje.
Sasa nikajiuliza, Steve alivyokuwa na Uswahiba na Makonda kweli wa kushindwa kwenda kwenye maandamano? Steve anavyopendaga kujipendekeza kwa viongozi leo ameshindwa kwenda kweli?
Nikahisi wenda lile sakata lake na Mama Wema kuvujisha Yale mazungumzo yao ndo imewafikisha hapa, sidhani kama msimamo wa sasa wa Steve unatoka moyoni.. Nadhani ni vile tu hana mawasiliano mazuri na Makonda ndo mana ameshindwa kwenda.
Sasa nikajiuliza, Steve alivyokuwa na Uswahiba na Makonda kweli wa kushindwa kwenda kwenye maandamano? Steve anavyopendaga kujipendekeza kwa viongozi leo ameshindwa kwenda kweli?
Nikahisi wenda lile sakata lake na Mama Wema kuvujisha Yale mazungumzo yao ndo imewafikisha hapa, sidhani kama msimamo wa sasa wa Steve unatoka moyoni.. Nadhani ni vile tu hana mawasiliano mazuri na Makonda ndo mana ameshindwa kwenda.