Kuna sehemu mkuu The coder, unasema ulimwengu hautaki tufike level flan ya maarifa, na ukatoa mifano ya sodoma, gharika, nk, kwanini usiwaze kua Kuna utawala mkuu sehemu flani ulimwenguni unaodhibiti hizo Hali, au ukubaliane na watu wa dini wanavyoamini?