Recent content by Wa angani

  1. Wa angani

    Voyager 1 chombo cha ajabu kinachonitisha kichwa. Aisee! hii itakushangaza

    Hivi hamna hata member mmoja humu anaefanya kazi NASA atupe madini
  2. Wa angani

    Songesha: Special Thread

    Wanatuokoa sana hawa wajuba, fikiria unahonga pesa kutoka songesha hata haiumizi kwa muda huo.
  3. Wa angani

    Hivi ulishawahi kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi?

    Tafuta kwanza kusudi la uwepo wako hapa duniani, ukilipata, hili swali lako nalo linapata jibu hapo hapo
  4. Wa angani

    Filamu 50 bora za watu wazima

    Hizi ndo movie Sasa, sio matakataka mengine
  5. Wa angani

    Dawa ya kukabiliana na foleni Jiji la Dar es Salaam hii hapa

    Naunga mkono mapendekezo haya, yapo sahihi
  6. Wa angani

    Dawa ya kukabiliana na foleni Jiji la Dar es Salaam hii hapa

    Naunga mkono mapendekezo haya, yapo sahihi
  7. Wa angani

    Hii baridi hii, sio ya kuachana kabisa

    Kiuno Cha nyigu mkuu, au sio?
  8. Wa angani

    Hii baridi hii, sio ya kuachana kabisa

    Hahaha, nyugwi ndo Nini mkuu
  9. Wa angani

    Freewill yenye adhabu baadae hiyo sio Freewill huru, Huo ni mtego. Uhuru na hiyari kamili havipaswi kuwa na shuruti, shinikizo wala adhabu

    Never freewill, but we are programed, (sijui nimeeleweka, maana watu tumevurugika now)
  10. Wa angani

    Hivi tutaishije kama hali ikiendelea kuwa hivi?

    Tatizo sio sisi wakulima, bali ni wafanyabiashara, kuanzia mbegu, viuatilifu, mbolea, dawa nk. Sekta ya chakula ndo biashara yenye mzunguko mkubwa zaidi duniani, ikifuatiwa na afya.
Back
Top Bottom