Kashikwa matako atafanya nn sasa. Wao ndo wameanza uchokozi. Utapitishaje spy drone juu ya anga la mwenzio nalf usingizie umeirusha kweny international air.
Kashazoe kuwachezea Syria na Iraq huko. Huyu Ni mwanaume Iran. Ajifanye kama anaijikuna aone mabomu ya nyuklia hataivyo pishana angani.
Uo ndo ukweli chief nilishawahi kupiga route nyingi sana kurasini, kwa nyaraka cha ulazima ni ID yako ID ya mzazi na cheti cha kazaliwa. Izo barua za kata na SM ,na maviapo kibao kuchoshana tu. Mm Nishaviaanda vyote, kilichobaki Ni kutafuta 'contact' afanikishe. Kurudi tena sitaki.!
Asante, bahati mbaya ndugu zangu wote hawajakamata kitengo ata kimoja nchi hii..
Finally, tupo page Moja. Unatakiwa ujichange kiasi gan ili route za office zao ziwe chache. (Au zisiwepo kabisa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.