Msaada: Jinsi ya kupata Passport kwa uharaka

Kayoka

JF-Expert Member
Jun 21, 2011
2,239
1,884
Habari Wakuu,

Niko huku kanda ya Ziwa Magharibi, tafadhali naomba kufahamishwa namna ya kuweza kupata kwa uharaka (let's say ndani ya mwezi mmoja) Passport ya kusafiria ya Tanzania.

Ni mambo gani ya msingi napaswa kufanya au vitu gani natakiwa kuwa navyo ili kufanikisha jambo hili?

Kwa sasa nina ile ndogo ya East and Central Africa, natarajia kusafiri mwezi wa sita mwanzoni.

Wasalaam.
 
Barua ya maombi
Barua ya mtendaji
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa
Kujaza fomu online unalipia 20000 (ujaze taarifa sahihi) kisha unaprint kuna sehem mwanasheria inabidi akusainie agonge muhuri kwenye hiyo fom
Cheti /affidavit ya mzazi mmoja
Barua ya mwaliko au dhumuni la hiyo safari kama umealikwa
Vingine kama vya ziada vitahitajika watakuambia wenyewe
Uwe na laki na 30 kama ukikubaliwa nyaraka zako

Kila la kheri
 
Barua ya maombi
Barua ya mtendaji
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa
Kujaza fomu online unalipia 20000 (ujaze taarifa sahihi) kisha unaprint kuna sehem mwanasheria inabidi akusainie agonge muhuri kwenye hiyo fom
Cheti /affidavit ya mzazi mmoja
Barua ya mwaliko au dhumuni la hiyo safari kama umealikwa
Vingine kama vya ziada vitahitajika watakuambia wenyewe
Uwe na laki na 30 kama ukikubaliwa nyaraka zako

Kila la kheri
Asante kwa maelezo sahihi. ila haraka ipo wapi hapa , namm nilikua nahitaji kwa haraka ifu yu no waraa am mininnnnnn....!
 
Asante kwa maelezo sahihi. ila haraka ipo wapi hapa , namm nilikua nahitaji kwa haraka ifu yu no waraa am mininnnnnn....!

Uende popote palipo na ofisi za uhamiaji na hivyo vitu,wenyewe ndio uwaambie kuwa unataka haraka 😂😂😂 au kama mkubwa wao ni ndugu yako utaipata haraka
 
Barua ya maombi
Barua ya mtendaji
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa
Kujaza fomu online unalipia 20000 (ujaze taarifa sahihi) kisha unaprint kuna sehem mwanasheria inabidi akusainie agonge muhuri kwenye hiyo fom
Cheti /affidavit ya mzazi mmoja
Barua ya mwaliko au dhumuni la hiyo safari kama umealikwa
Vingine kama vya ziada vitahitajika watakuambia wenyewe
Uwe na laki na 30 kama ukikubaliwa nyaraka zako

Kila la kheri

Ahsante Mama Sabrina!

Nina kila ulichoorodhesha hapo isipokuwa Kitambulisho cha Taifa tu.

Je naweza kufanya mchakato nikiwa na kitambulisho cha kupiga kura ?
 
Hata iwe emergency utahitaji kufanya hizo taratibu. Ukiweza kulainisha mkono wa mtu siku tatu tu..kila la kheri..


Kumbe!
Sasa sisi wa huku mikoani tunaipatia huku huku au lazima tuje Daslaam?
 
Barua ya maombi
Barua ya mtendaji
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa
Kujaza fomu online unalipia 20000 (ujaze taarifa sahihi) kisha unaprint kuna sehem mwanasheria inabidi akusainie agonge muhuri kwenye hiyo fom
Cheti /affidavit ya mzazi mmoja
Barua ya mwaliko au dhumuni la hiyo safari kama umealikwa
Vingine kama vya ziada vitahitajika watakuambia wenyewe
Uwe na laki na 30 kama ukikubaliwa nyaraka zako

Kila la kheri
Mpaka hapo uko sawa ila akiishia hapo atasubiri passport yake mwaka mzima!!

Baada ya kuwa na hiyo 130,000 atafute tena kama laki mbili au mbili na nusu kama ana nia ya kupata ndani ya siku nne au wiki moja!!
 
Ahsante Mama Sabrina!

Nina kila ulichoorodhesha hapo isipokuwa Kitambulisho cha Taifa tu.

Je naweza kufanya mchakato nikiwa na kitambulisho cha kupiga kura ?
Kitambulisho cha taifa lazima .... Kama huna kajiandikishe wakupe namba ya kitambulisho
 
Uende popote palipo na ofisi za uhamiaji na hivyo vitu,wenyewe ndio uwaambie kuwa unataka haraka au kama mkubwa wao ni ndugu yako utaipata haraka
Asante, bahati mbaya ndugu zangu wote hawajakamata kitengo ata kimoja nchi hii..
Mpaka hapo uko sawa ila akiishia hapo atasubiri passport yake mwaka mzima!!

Baada ya kuwa na hiyo 130,000 atafute tena kama laki mbili au mbili na nusu kama ana nia ya kupata ndani ya siku nne au wiki moja!!
Finally, tupo page Moja. Unatakiwa ujichange kiasi gan ili route za office zao ziwe chache. (Au zisiwepo kabisa)
 
Asante, bahati mbaya ndugu zangu wote hawajakamata kitengo ata kimoja nchi hii.. Finally, tupo page Moja. Unatakiwa ujichange kiasi gan ili route za office zao ziwe chache. (Au zisiwepo kabisa)
Akitafuta cha juu hatakuwa ma safari nyingi
1. Siku atakayopeleka form na kupigwa picha + fingerprints.
2. Siku ya kuchukua

Sasa usitoe cha juu, utasubiri mpaka...
 
Akitafuta cha juu hatakuwa ma safari nyingi
1. Siku atakayopeleka form na kupigwa picha + fingerprints.
2. Siku ya kuchukua

Sasa usitoe cha juu, utasubiri mpaka...
Uo ndo ukweli chief nilishawahi kupiga route nyingi sana kurasini, kwa nyaraka cha ulazima ni ID yako ID ya mzazi na cheti cha kazaliwa. Izo barua za kata na SM ,na maviapo kibao kuchoshana tu. Mm Nishaviaanda vyote, kilichobaki Ni kutafuta 'contact' afanikishe. Kurudi tena sitaki.!
 
Asante, bahati mbaya ndugu zangu wote hawajakamata kitengo ata kimoja nchi hii.. Finally, tupo page Moja. Unatakiwa ujichange kiasi gan ili route za office zao ziwe chache. (Au zisiwepo kabisa)
Weka laki mbili yako mfuko wa shati, ukifika usiwe siriaz mpaka watu wakuogope waone wewe ni usalama/takukuru. Kuwa mcheshi, ukifikia zamu yako mwite muhudumu mwambie nna shida nacho ndani ya wiki hii hii!! alafu mtoe buku kumi mwambie akanywe maji.
Baada ya hapo jidai unalalamika kwamba kikichelewa imekula kwako tehn muombe msaada akufanyie fasta na umwambie atapata kitu kidogo!! ukiweza mpe cash kabisa alafu mpe namba yako ya simu!!

Baada ya hapo kaa eneo hilo hilo awe anakuona!!

Ndani siku nne utapigiwa simu uje uchukue kadi yako!! Ukijidai mkono mfpi jiandae kuambiwa mashine ya kuprint imesha wino mpaka waagize urusi ndio waje wakuprintie passport yako!!
 
Mpaka hapo uko sawa ila akiishia hapo atasubiri passport yake mwaka mzima!!

Baada ya kuwa na hiyo 130,000 atafute tena kama laki mbili au mbili na nusu kama ana nia ya kupata ndani ya siku nne au wiki moja!!9

Hivi eti ombi pia linaweza kukataliwa endapo ushalipia pesa na wamekupiga picha tayari na fingerprints zako wamechukua?
 
Ahsante Mama Sabrina!

Nina kila ulichoorodhesha hapo isipokuwa Kitambulisho cha Taifa tu.

Je naweza kufanya mchakato nikiwa na kitambulisho cha kupiga kura ?

Kitambulisho cha kupigia kura hawahitaji,bali wanahitaji barua kutoka nida yenye namba zako za kitambulisho
 
Back
Top Bottom