Naungaa mkono hojaaa coca cola ya dar imepoteza latha na haina testi yake halisi nitofauti na ya mwanza, na kilimjaroo....mpk nimeachaa kutumia hiki kinywaji changu pendwa ni kiwa dar..
Ni wakati wa campun ya coca cola kwanza dar kujitafakarii...
Kuna sehemu na hisii hapako sawa ndani ya campun...
Hii tarifa nilikuwa naangalia live sky news walikuwa live kwenye NASA HQ daah nimevutiwa sana na lecture iliyokuwa inatolewa pale gafla na mimi nikatamani kuwa astronomer [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We nayeee ni kenge maji huna pointi....!! Bora unge nyamaza..!?
Ina maana huko dubai alienda na ki miujiza
Inaa maana alitoka huku akajua akienda dubai atakuta chakula cha buree...!?
Sikuizi maisha ayatafuti kama zamani enzi za kina nyerere..useme watu watakuonea huruama
Akilizako kichwani...
Ivi una endaje sehem tena nchi za watu ukiwa na plan A tu...yaan wabongo hapo ndo tunapo feliii...!!
Ngoja ni kupee idea ya kumsaidia huyo jamaa wakoo ikitik urudi hapa uje kunipa mrejesho maana mimi ni jobless.
Nampa pongezi za kufika huko dubai inaoneka jamaa kajitoa ..Ilaa anatakiwa afutee...
Hujui ulichoo andika bora ukae kimyaaa....kanisa ni mali ya wanachi sio maliya askofu wala mchungaji...
Hana mamlaka ya kuamisha majengo yaliyo sajiliwa kwenye organization fluni kwenda kwenye organization anayo taka yeye...! Hata kikatiba halipo hata kisheria halipo
Kwa swala la kujenga mimi na...
Utampangia ajee mtu sehem ya kushukia...we unafikiri mtalii anapo kuja tz hajui kuna sehem ina itwa dar..!? Wengi wanajua
Na wengi wanao shukia KIA wanakuja kwa specific purpose kupanda mlima Kilimanjaro au kwenda ngorongoro na n.k sio kufanya starehe au wewe unajua utalii ni starehe...!?
Mbona...
Sijaona ujini hapo..!! Kifupi anakuta sema tu mkuu huna mzukaa wa ku chakata hiyo papuchi...
kama una ona kero sikunyingine umpe uhuru day off aatoke akashange mji anaweza kupata boya wake akama tuliza hizo genyee..
Kati pita pita zangu mikoa tofauti nimeshakutana na magari katha ya mebeba hicho kifaa mfano Arusha, mwanza, Kilimanjaro .
Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa naomba atupe maelezo.
A) jina la hicho kifaa
B)matumizi yakee?
C) na kina fanya je kazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.