Soda za Coca Cola haziko sawa

Soda za Coca Cola haziko sawa

Kwa watumiaji wa vinywaji vya kampuni ya Coca Cola Kwanza, hivi karibuni soda zao zina walakini.
Soda hazina gesi kabisa, hii inasababisha tuhisi ni soda feki.

Coca Cola tusaidieni watumiaji wa vinywaji vyenu maana soda zenu zinakera sana.

Soda za Fanta huwa zinakuwa mbaya ni kama unakunywa damu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Cocacola ni sawa na chai ya rangi ya baridi tu.
 
Kwa watumiaji wa vinywaji vya kampuni ya Coca Cola Kwanza, hivi karibuni soda zao zina walakini.
Soda hazina gesi kabisa, hii inasababisha tuhisi ni soda feki.

Coca Cola tusaidieni watumiaji wa vinywaji vyenu maana soda zenu zinakera sana.

Soda za Fanta huwa zinakuwa mbaya ni kama unakunywa damu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Labda kuna njemba ametumia akili 'kui-sabotage' c'cola ili biashara yake ipande. Bongoland hii!
 
Fanta inanoga kama zile Fanta za Zambia niliwahi iacha sehemu nikidhani imeharibika nikaja kujaribu maeneo mengine nikakutana na radha kama ile niliyoiacha nikagundua hawa ni tatizo ingawaje nakunywa soda mara chache sana ila hizo Fanta hazipo sawa kabisa...
Rwanda wao wana ladha kama zamani , halafu wana fanta lemon pia huku ilikuwa discontinued kitambo sana .
 
Cocacola ni sawa na chai ya rangi ya baridi tu.
Product ikiwa ya mzungu, ukamuachia mbongo under license basi quality control inakuwa hakuna.

Hao Coca cola wana brand yao inaitwa Schweppes sionagi bongo, ila kwa refreshment mdomoni ndio number one choice kwangu.
 
Wauza soda kuna muda tunaonekana mbinu juz kat nimechukua crate kadhaa nafka shop nakuta zmelegea vifuniko yaan unaweza fungua kwa mkono tu
Ndio soda za sasa inaonekana zinavuja gesi, vifuniko vinatoka kwa wepesi sana na ni soda zote za coca cola kwanza

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Atleast uwe unakunywa juice tena ya kutengeneza mwenyewe(juice ya matunda) ni nzuri sanaa na ni inakupa afya njema .. Mimi nimeacha kunywa soda siku nyingi sana, Hata nikiwa njiani nitakunywa apple punch.
 
Angalau zile ambazo zina MAANDISHI MEUPE bila ile background ya RANGI NYEKUNDU ndio ziko vizuri.
 
Naungaa mkono hojaaa coca cola ya dar imepoteza latha na haina testi yake halisi nitofauti na ya mwanza, na kilimjaroo....mpk nimeachaa kutumia hiki kinywaji changu pendwa ni kiwa dar..
Ni wakati wa campun ya coca cola kwanza dar kujitafakarii...
Kuna sehemu na hisii hapako sawa ndani ya campun ya coca cola kwanza...
Wanazitia dowa soda zote za coca cola.
 
Coca-cola wanabebwa na matangaxo tu, lakini kwenye quality walishazikwa kitambo sana
 
Hivi kuna tofauti kati ya coca diet na coca zero?
Hakuna tofauti ni kitu kimoja, tofauti yake ni maneno tuu "zero" inatumika na kampuni ya Cocacola ( Coke Zero) na " diet" inatumika na kampuni ya pepsi ( Pepsi diet).
 
Naungaa mkono hojaaa coca cola ya dar imepoteza latha na haina testi yake halisi nitofauti na ya mwanza, na kilimjaroo....mpk nimeachaa kutumia hiki kinywaji changu pendwa ni kiwa dar..
Ni wakati wa campun ya coca cola kwanza dar kujitafakarii...
Kuna sehemu na hisii hapako sawa ndani ya campun ya coca cola kwanza...
Wanazitia dowa soda zote za coca cola.
Wenyewe wanakwambia unakunywa brand siyo quality 😃
 
Back
Top Bottom